Biashara

Biashara

nyce

Member
Joined
Feb 4, 2014
Posts
9
Reaction score
0
Habarini za jioni ndugu......jamani nataka nianze biashara ya kununua mayai kwa wafugaji na kudzu,tafadhali kwa yoyote mwenye idea tuwasiliane na kwale wakulima pia tafadhali to was I liase no yangu ni 0712380202
 
Tayari una soko ?, nadhani hapo ndio pa kuanzia ukishapata soko la kupeleka mayai kinachobaki ni kutafuta reliable source (sehemu tofauti tofauti) sio kwa mtu mmoja ili anayekuuzia mmoja akikosa uchukue kwa mwingine.., baada ya hapo ni kubargain na kununua kwa rahisi kadri inavyowezekana ili unapouza uongeze profit margin.

Pia usisahau kuweka gharama ya kuyasafirisha unapoyatoa na risk iwapo baadhi yakiaharibika au kupasuka bado faida yako isitetereke. Pia hata yakipasuka kidogo unaweza kujaribu soko kwa wauza chips mayai kuwauzia kwa bei nafuu
 
Back
Top Bottom