Nina mtaji wa pesa kiasi kadhaa na niko huku mkoani Kagera, Natafuta mtu anayeweza kupata kwa urahisi vifaa vya electronics used au mpya km vile simu,Laptops,Lcds nk nahitaji mtu huyo tuweze kufanya biashara ya kutumiana pesa na mzigo..Awe tiari kufanya katika bei iliyo atleast ili tupate faida sote.Aliye tiari anaweza kuni PM email adress yake au No ya cm