NGULI JF-Expert Member Joined Mar 31, 2008 Posts 4,801 Reaction score 643 Aug 23, 2010 #1 BIbi Chausiku Mussa(75) aliposhindwa kuzuia hisia zake na kuanza kucheza wimbo wa 'Alamba' ambao ni wimbo wa taarabu uliokuwa ukiporomoshwa na Mzee Yussuf wa kundi la Jahazi juzi kwenye uzinduzi wa kampeni za CCM.
BIbi Chausiku Mussa(75) aliposhindwa kuzuia hisia zake na kuanza kucheza wimbo wa 'Alamba' ambao ni wimbo wa taarabu uliokuwa ukiporomoshwa na Mzee Yussuf wa kundi la Jahazi juzi kwenye uzinduzi wa kampeni za CCM.
Fidel80 JF-Expert Member Joined May 3, 2008 Posts 21,947 Reaction score 4,470 Aug 23, 2010 #2 Inabidi TAKUKURU wafanye kazi yao huyu bibi hiyo kofia amenunua au kapewa ndo hongo zenyewe hizo. Hata hilo gagulo na mkwaju
Inabidi TAKUKURU wafanye kazi yao huyu bibi hiyo kofia amenunua au kapewa ndo hongo zenyewe hizo. Hata hilo gagulo na mkwaju
NGULI JF-Expert Member Joined Mar 31, 2008 Posts 4,801 Reaction score 643 Aug 23, 2010 Thread starter #3 Fidel80 said: Inabidi TAKUKURU wafanye kazi yao huyu bibi hiyo kofia amenunua au kapewa ndo hongo zenyewe hizo. Hata hilo gagulo na mkwaju Click to expand... hivi mkuu alamba ina maanisha nini? iliingiaje kwenye kampeni?
Fidel80 said: Inabidi TAKUKURU wafanye kazi yao huyu bibi hiyo kofia amenunua au kapewa ndo hongo zenyewe hizo. Hata hilo gagulo na mkwaju Click to expand... hivi mkuu alamba ina maanisha nini? iliingiaje kwenye kampeni?