Bibi Kidude ni Mzima wa Afya, Hajafa

Bibi Kidude ni Mzima wa Afya, Hajafa

Mrimi

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2011
Posts
1,691
Reaction score
640
Jana jioni kulukuwa na uvumi ulioenea ktk mitandao mbalimbali kuwa Bibi Kidude amefariki dunia jana.

Akiongea na kipindi cha Super Mix kupitia simu ya msanii wa bongo flava, AT amesema ni kweli alilazwa na kuongezwa chupa mbili za maji, lakini kwa sasa ameisharuhusiwa na hali yake iko vizuri kabisa. Amesema kuwa wale waliovumisha habari hizo anamwachia Mungu awahukumu.
 
Duuuuh ina maana bibi Kidude hana simu mpaka leo hii! Ok, nashukuru kwa taarifa.
 
Jana jioni kulukuwa na uvumi ulioenea ktk mitandao mbalimbali kuwa Bibi Kidude amefariki dunia jana.

Akiongea na kipindi cha Super Mix kupitia simu ya msanii wa bongo flava, AT amesema ni kweli alilazwa na kuongezwa chupa mbili za maji, lakini kwa sasa ameisharuhusiwa na hali yake iko vizuri kabisa. Amesema kuwa wale waliovumisha habari hizo anamwachia Mungu awahukumu.

Asante Mrimi kwa taarifa....long live Bibi Kidude...
 
Duuuuh ina maana bibi Kidude hana simu mpaka leo hii! Ok, nashukuru kwa taarifa.

Zembwela alipopata habari hizo jana usiku alimtafuta AT na kumwomba amtafutie bibi huyu ili kama vipi amrushe live kwenye kipindi.
So asubuhi hii ndipo alipomtafuta na kumkuta akiwa amekaa huku akivuta sigara yake taratiiiibu! Na hapo ndipo alipoweza kuongea na kipindi
live.
 
Nimesikia akiunguruma Clouds FM. Anasema huyu Israel (mtoa roho) hajamwita na siku akifa wala haitakuwa tetesi, kila mtu atafahamu
 
Khaaa Kwan nan kasema alikufa ? Hiv kwann jamii forum imeanza kushuka heshima kila m2 anatoa hoja hata bila uhakika wowote ?
 
Back
Top Bottom