Mrimi
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 1,691
- 640
Jana jioni kulukuwa na uvumi ulioenea ktk mitandao mbalimbali kuwa Bibi Kidude amefariki dunia jana.
Akiongea na kipindi cha Super Mix kupitia simu ya msanii wa bongo flava, AT amesema ni kweli alilazwa na kuongezwa chupa mbili za maji, lakini kwa sasa ameisharuhusiwa na hali yake iko vizuri kabisa. Amesema kuwa wale waliovumisha habari hizo anamwachia Mungu awahukumu.
Akiongea na kipindi cha Super Mix kupitia simu ya msanii wa bongo flava, AT amesema ni kweli alilazwa na kuongezwa chupa mbili za maji, lakini kwa sasa ameisharuhusiwa na hali yake iko vizuri kabisa. Amesema kuwa wale waliovumisha habari hizo anamwachia Mungu awahukumu.