Bibi kizee mahakamani

Dola Iddy Wa Chelsea

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2014
Posts
2,125
Reaction score
1,526
Bibi mmoja alipeleka kesi mahakani na mambo yalikuwa hivi:
Wakili:Bibi unaweza kuileza mahakama nini kilichotokea?
Bibi:Mheshimiwa Hakimu mnamo tarehe husika mida ya saa 2 usiku nikiwa nimelala nilishangaa kuona mlango wangu unavunjwa na kijana huyu na kuanza kunibaka akidhani haya mambo mimi siyajui weee nilimpa mambo mpaka kijana akaridhika!
Hakimu:Bibi sasa unachotaka mahakama ichukue ifanye dhidi ya kijana huyu ni kipi?
BIBI: Mi naiomba mahakama imuamuru kijana anitengenezee mlango wangu halafu awe anakuja kama kawaida!
MAHAKAMANI WATU HOIII!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…