Bibi Titi Mohammed, mwanamke aliyeitikisa Tanzania na Dunia



Ungeweka na picha zake wakati akiwa gerezani.
 
Hicho kibibi cha kariakoo kinwaweza kutikisa labda Tandamti lakini si Dar wala Tanganyika.
Mkuu miaka ya 1960's na 1970's mwanamke wa Afrika kushiriki mapinduzi haikuwa kazi ndogo.
 
Kamati ndogo ya MACHAPISHO YA HISTORIA iundwe na mwenyekiti awe Prof. Kimambo historia ya nchi iandikwe upya waliosahaulika wajumuishwe wote.
 
Kamati ndogo ya MACHAPISHO YA HISTORIA iundwe na mwenyekiti awe Prof. Kimambo historia ya nchi iandikwe upya waliosahaulika wajumuishwe wote.
Naunga mkono hoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…