Bibi wa miaka karibu 70 anapolilia apigwe mtama!!

Kyaiyembe tatizo ni siku atakapokumwaga hapo ndipo kilio na kusaga meno.............wanasema haachi kunogeewa lakini vilevile haachi kukinai..................yako mbaya hapo!
Sawa mkuu hiyo ni Private Sector! huwezi kukaa kizembe kama kwenye Public sector! mahesabu na mipango muhimu!.
Siku hizi mitaji ni migumu kupatikana ukimpata wa hivyo usiweke mizizi tafuta kianzio alafu sepa!.
Wengi mbona wametokea mlango huu, sema tunaangalia mafanikio tu. Lakini ufuatilia alikotokea mpoka alipo utaduwaa.
 
Sina hakika kama kuna utamu wowote hapo, aende zake na noti zake! Maana ukitoka kwake itakubidi siku nzima ushinde umelala kwa uchovu na kula chakula kingi ku-replace calories.
 
Rutashubanyuma What if your sister is the same age as yuor wife!.
 
wengine wanado huku wamefunga macho kumwangilia inaondoa ladha lol...

Blaki Womani mvuto ni muhimu na tena ajaze ma-hips kama yale ya........................
 
Last edited by a moderator:
Sina hakika kama kuna utamu wowote hapo, aende zake na noti zake! Maana ukitoka kwake itakubidi siku nzima ushinde umelala kwa uchovu na kula chakula kingi ku-replace calories.

webondo tamu ni chapaa tu mengineyo yote yanahitaji uvumilivu sa khali ya juu
 
Last edited by a moderator:
Sina hakika kama kuna utamu wowote hapo, aende zake na noti zake! Maana ukitoka kwake itakubidi siku nzima ushinde umelala kwa uchovu na kula chakula kingi ku-replace calories.

Mbona mnawaonea sana wa upande wa pili?.
Kwani baba zetu wanapofukuza na Vitukuu mtaani wakiwapa minoti ili wapewe uroda napo mnasemaje?.
Umri unakuwa ni namba tu wakati mwingine!.
 

Kyaiyembe ushauri wangu kwa vijana watafute ujuzi watapata chapaa bila ya zengwe the cost of this arrangement is just too much..........
 
Last edited by a moderator:
wengine wanado huku wamefunga macho kumwangilia inaondoa ladha lol...
Umemsahau yule msanii aliyetoka na single ya "KAKUPENDA BIBI KIZEE, NAKUPENDA KIKONGWE"
kuna mistari mle ukiusikiliza vizuri ule wimbo utagundua kuwa hawafumbi macho mkuu!.
 
Hivi miaka 70 perfomance bado inaeleweka Rutashubanyuma

FirstLady1 mpendwa, kibiolojia performance haitegemei umri bali "will and spirit". Mwaka jana ilifanyika arusi baina ya mwanamume (60 yrs) na mwanamke (85 yrs). Huyu ajuza ni ngangari kinoma, spirit yake ya ujana bado anayo na "anayaweza". Kama alivyoimba Bi. Kidude, Kung'oka meno si utuuzima, haja mashine iwe nzima.






















[Juu]Bi Arusi (Cayetana) alipokuwa kijana.
[Chini] Bi Arusi siku ya arusi yake akiwa na miaka 85
 
Rutashubanyuma Umewasikia hawa hapa walivyosema baada ya kuisoma ile article!


bobbysmiles
30 May 2012 2:24 PMLet the grandma have a ball as long as it lasts. Enjoying sex is the only thing that counts in life. Everything else comes second. Go on Grandma go......enjoy to your fill.....those who retired and shoved their tools to shed should stop being envious.....

kim30 May 2012 10:48 AMWe all envy your healthy libido at that age mama. That is the sign of a healthy mind and body. Congratulations-----and I mean it!
 




















Sasa Ruta unalakuongezea?
 
Sasa Ruta unalakuongezea?
Kyaiyembe Mkuu, kama nimemfahamu vizuri Ruta, yeye hapingi umri wala uwezo, anawauliza tu vijana wanaojipelekwa kwa bibi zao kwa tamaa ya pesa.

Ninakubaliana na wewe hapo juu kuwa umri ni nambari tu, kuna vijana (Ke+Me) wanabwaga manyanga mapema na kuna vizee vinakufa mchi (Me) na mche (Ke) vimesimama, tafauti na ile dhana kuwa ukifika umri fulani unapaswa kutundika madaluga.
 

Kyaiyembe.if words were gold beggars would ride.............
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…