Bibi wa miaka karibu 70 anapolilia apigwe mtama!!

duniani kuna mambo ya ajabu sana
[MENTION]
Edward Teller[/MENTION]..................ya ajabu haswa.........wakati vijana wanasema hawana nguvu wamechoka ajuza yeye ndiyo amechangamka vibaya sana.........
 
huyo nikibatika kumpata nita mpiga mtama nje ndani

[MENTION]kivuzi [/MENTION]pole sana penye miti mara nyingi hakuna wajenzi..............
 

MAMMAMIA you are spot on..............
 
Last edited by a moderator:
huyo nikibatika kumpata nita mpiga mtama nje ndani

Kivuzi kwanza akuruhusu nionavyo hatakuruhusu ukija na miadi hiyo............lol
 
Last edited by a moderator:
Mkwanja kwanza hayo mengine ni ya ziada kaka! Tunawaona vijana ambao wanalelewa mwisho wa siku wanazidi kukonda!

webondo mbona wanitisha............weye ni mkwanja tu mengineyo yatajaza..................Am speechless
 
Last edited by a moderator:
Umemsahau yule msanii aliyetoka na single ya "KAKUPENDA BIBI KIZEE, NAKUPENDA KIKONGWE"
kuna mistari mle ukiusikiliza vizuri ule wimbo utagundua kuwa hawafumbi macho mkuu!.

Blaki Womani.....ipo kazi hapo kwa hizi simulizi za Kyaiyembe yaelekea mie nawe bado tuko usingizini.......
 
Last edited by a moderator:
ummu kulthum leo umetoa mpya wasema hakina expiry date.....lol.............akifa kuna wakukitamani kweli zadi ya kukitanguliza kwenye madongo na kiwe mlo wa funza..................
rutashumbanyuma ma bro,kila kilichozaliwa hufa na kuoza.Bibi still alive kwanini asikitumie kitu yake ipasavyo untill she die.
 
Mimi bwana hapana, niacheni tu nashida yangu. Nikifikiria tu ile migozi iliyozeeka (loose skin) over my body hamu ya kufanya nae mapenzi kwishney
 
Mimi bwana hapana, niacheni tu nashida yangu. Nikifikiria tu ile migozi iliyozeeka (loose skin) over my body hamu ya kufanya nae mapenzi kwishney
 
The END of the World is around the corner....!!

muwaha.............before long parents will lust own offspring..............
 
Last edited by a moderator:
Mimi bwana hapana, niacheni tu nashida yangu. Nikifikiria tu ile migozi iliyozeeka (loose skin) over my body hamu ya kufanya nae mapenzi kwishney

MadameX........ni maamuzi ya busara bora kijana mwenzio akunanii hata kama hana chapaa kulikoni babu na chapaa yake huku anakunanii nawe umenuna..............lol, yaani haifai hata kidogo.......
 
Last edited by a moderator:
rutashumbanyuma ma bro,kila kilichozaliwa hufa na kuoza.Bibi still alive kwanini asikitumie kitu yake ipasavyo untill she die.

ummu kulthum.....................sikatai akitumie lakini na watoto wake?
 
Last edited by a moderator:
ummu kulthum.....................sikatai akitumie lakini na watoto wake?

bishanga uko dunia ipi?mtoto wa mwenzio mkubwa mwenzio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…