JAMANI WANA JF bibi yangu anasumbuliwa na kitu kama kiko kwenye mfuko wa nyongo,ni kitu kama barafu sasa basi mwenye ufahamu ninamna gani tunaweza kupata dawa ya kuiyeyusha tumboni naombeni msadaa jamani
ebu eleza vizuri!! tumbo limevimba? akila anapata maumivu? barafu haiwezi kaa mwilini toa mfano wa maana na elezea namna navyojisikia. kuna mengi katika mfuko wa nyonga, yaweza kuwa mawe, nk. eleza vema.
JAMANI WANA JF bibi yangu anasumbuliwa na kitu kama kiko kwenye mfuko wa nyongo,ni kitu kama barafu sasa basi mwenye ufahamu ninamna gani tunaweza kupata dawa ya kuiyeyusha tumboni naombeni msadaa jamani