Biblia katika picha: Ni rahisi kwa masikini kuingia mbinguni

Nina mashaka sana maana maskini ana moyo uliopondeka Sana.
 
Na hii ndio maana dini hasa ukristu umetapakaa dunia ya tatu , eti maadam maisha yamenishinda heri nitamani ufalme wa mbinguni . Utatamanije kitu kisichoonekana? Karl Marx akifufuka atawachapa viboko. Japo matajiri wengi sio Mungu kawapa ila huenda maisha ni " survival for the fittest " Play your game well
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…