Biblia kwa Jicho Jingine

Awali ya yote Nikupongeze kwa Uandishi Ulio pangilika,

Je wewe Ni bilionea Asigwa wa Fb?

Tatu na mwisho, je nje ya Jamii forum unaweza kukaribisha maswali na hoja juu ya MUNGU?!

Imeandikwa
"Itafuteni KWELI nayo KWELI itawaweka HURU"
 
umenisisimua mahali
ndiyo maana nikawa nashangaa Y? ukitaja jina la YESU mapepo na mambo mabovu yanakimbia/kuweweseka?
lakini nikawa najiuliza Y? ukitaja jina la Mtume (Saw) yaani hata mapepo haya ropoki
asee hapo NIMEPATA kitu
Em taja wewe hilo jina la YESU kama hayo mapepo yatakurupuka, think big ...
 
Em taja wewe hilo jina uone kama mapepo yatakurupuka. Huoni kama there is somthing behind...., na kwa nini Mungu achague watu wa kuamsha mapepo kwa jina hilo..? Kwa nn isiwe kwa yeyote tu akitaja itokee...? Utasema labda viwango vya imani ok kwan wao wanamini nini, na wengine wanamini nini ...., maswali ni mengi sana ......
 
Em taja wewe kama utaponya mtu hata mmoja au hata mtu kutikisika tu ..., lingekuwa linanguvu basi ingelikuwa ni kwa yeyote atakayelitaja mambo yatokee, but utakuta ni kwa hao wainjilist na wachungaji wa kileo ndo wana hizo mbwembwe, kwa nini mapadre na wasabato hawalitumii kuponya ...? Think big ...
 
Dahh, mkuu uko deep sana, hizi ni nyuzi nazozifatiliaga kwa undani, km hutojali nitakuchek kwa maarifa zaid.

Ubarikiwe sana.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 

Mkuu

Lete muendelezo tafadhali

Maana toka uhaidi mpaka mwaka umeisha Bado,tuko 2022 Bado hujashusha muendelezo.

Tumesubiri Sana timiza ahadi

Tupe muendelezo wa sehemu ya 3,4,5....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…