MKUU Hawa ambao wanakifanya ni atheist achana nao
maadamu umewapa ukweli kuwa yupo Above all na kama kagoma basi hutokuwa na hatia ya damu yake
lakini pia hata sauli (Paul) before hajawa mtumishi wa MUNGU naye alikuwa na minajili tofaut so MUNGU na uhakika ipo day atambadilisha kiranga
Ninauhakika kama wewe ulivyo na ukakika kwamba hayupo.Unajuaje una uhakika? Unathibitishaje hili ni lahakika?
Haya maswali Mpendwa kamuulize Mungu....... Maana yupo hai hajafa ...Pingamizi zangu za kimantiki kuhusu uwepo wa Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, kwa kiingereza "proof by contradiction", bado hazijapata majibu ya kuziondoa.
Hivyo, Mungu hayupo.
Kama mtu anasemayupo, athibitishe kwa kuanza kuondoa contradictions zilizopo katika habari ya kuwapokwake.
Mungu anatakiwa asiwe na contradiction. Huyu Mungub wa Biblia na Quran kwa mfano, mtu akiweza kuniondolea contradictions zote zilizopo katika habari zake, sio tu nitakubali, bali pia nitafurahi sana. Contradictions hizo ni hizi.
Kwa uchache.
1. Kwa nini Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote, upendo wote na utakatifu wote, kaumba ulimwengu ambao maovu yanaweza kutokea, wakati alikuwa ana uwezo wa kuumba ulimwengu ambao maovu hayawezi kutokea? Naomba jibu lisiwe kusema maovu yapo kwa sababu ya shetani. Swali linauliza kabla shetani hajaumbwa Mungu alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao shetani hawezi kuwepo. Jibu la swali lisiseme maovu ni matokeo ya dhambi za watu. Mungu angeweza kuumba ulimwengu ambao dhambi haiwezekani. Jibu lisiseme free will, hatuna hiyo inayoitwa free will katika mengi sana na hata kui define tu watu hawawezi.
2. Inakuwaje Mungu awe ndiyo mtoa rehema ya kumjua, anachagua mwenyewe nani amjue na nani asimjue, halafu mtu akishindwa kumjua Mungu, kwa sababu Mungu hajamchagua huyo mtu kumpa neema yake Mungu ya kumjua, huyo mtu aonekane ana makosa, ahukumiwe kuchomwa moto? Baba anawezaje kumhukumu mtoto ambaye hajui kusoma, kama mtoto hajui kusoma kwa sababu baba ndiye aliyemnyima nafasi ya kwenda shule?
3. Inakuwaje mahakama za watu tu zinakataza mtoto kuhukumiwa kwa makosa ya mzazi, lakini vitabu vya Mungu vinasema Mungu anahukumu watoto na wajukuu vizazi hata vizazi? Kwa kosa la mzazi wa zamani sana? Huyu Mungu mbona haki yake haijafikia hata haki yetu watu tu?
4. Mnasema Mungu anajua yote. Anayajua maisha ya mtu yote mwanzo mpaka mwisho kabla hata mtu hajaishi. Na anachojua huyo Mungu kitatokea, ni lazima kitokee. Anavyojua si kama utabiri wa hali ya hewa kwamba kuna 80% ya mvua. Yeye anajua kitu kamili hakina utata. Sasa kama anajua hivyo, ina maana mtu muuaji, alimjua huyu atakuwa muuaji kabla hata hajazaliwa. Na muuaji huyo hawezi kuepuka kuua hata afanye nini. Kwa sababu kuepuka kuua wakati Mungu kashajua huyu ataua ni kum prove Mungu wrong. Sasa kama huyu mtu anaenda kuwa muuaji, na hana jinsi ya kuepuka hilo, tutasemaje ana uhuru wa kuamua na anaua kwa uamuzu wake na atahukumiwa motoni kwa uuaji?
5. Mbona hivyo vitabu vinavyosemwa ni vya Mungu vina contradictions lukuki?
6. Mbona huyo Mungu mnayemsema yupo hathibitishiki? Anajificha asijulikanw vizuri kwa nini? Kwa nini hakufanya ulimwengu uweze kumjua vizuri bila uwezo wowote wa kuwepo ubishi juu ya uwepo wake?
7. Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote anaweza kuumba jiwe zito sana kiasi yeye mwenyewe ashindwe kulibeba? Akiweza kuumba jiwe hilo, atakuwa hawezi yote, maana kuna jiwe atakuwa kashindwa kulibeba. Akishindwa kuumba jiwe hilo, atakuwa hawezi yote maana kuna jiwe atakuwa kashindwa kuliumba.
8. Kwa nini Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, ameruhusu kifo kitenganishe wapendanao, baba na mama, wazazi na mtoto, marafiki etc, wakati alikuwa na uwezo, ujuzi na upendo wote wa kuumba ulimwengu ambao kifo hakiwezekani kuwepo?
Kwa nini watetezi wa Quran waajitapa sana kusema vitu fulani vichache vimethibitishwa kisayansi, kuinadi Quran kama kitabu cha ukweli, wakati vingi sana vina contradictions ama vinapingana na sayansi ama havijathibitishwa kisayansi, hawasemi vinapingana nansayansi au havijathibitishwa kisayansi?
10.Kama kuna Mungu kweli, kwa nini karuhusu confusion ya dini nyingi tofauti kuwa na vitabu vingi tofauti vyote vinasema vya Mungu wa kweli?
Kwa leo tuishie na maswali haya 10.
Unaweza kujibu ?
Question number 7 ni UTOTO Wa hali ya Juu Brother, Try to be relevant kidgo, uliza swali la kueleweka!Pingamizi zangu za kimantiki kuhusu uwepo wa Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, kwa kiingereza "proof by contradiction", bado hazijapata majibu ya kuziondoa.
Hivyo, Mungu hayupo.
Kama mtu anasemayupo, athibitishe kwa kuanza kuondoa contradictions zilizopo katika habari ya kuwapokwake.
Mungu anatakiwa asiwe na contradiction. Huyu Mungub wa Biblia na Quran kwa mfano, mtu akiweza kuniondolea contradictions zote zilizopo katika habari zake, sio tu nitakubali, bali pia nitafurahi sana. Contradictions hizo ni hizi.
Kwa uchache.
1. Kwa nini Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote, upendo wote na utakatifu wote, kaumba ulimwengu ambao maovu yanaweza kutokea, wakati alikuwa ana uwezo wa kuumba ulimwengu ambao maovu hayawezi kutokea? Naomba jibu lisiwe kusema maovu yapo kwa sababu ya shetani. Swali linauliza kabla shetani hajaumbwa Mungu alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao shetani hawezi kuwepo. Jibu la swali lisiseme maovu ni matokeo ya dhambi za watu. Mungu angeweza kuumba ulimwengu ambao dhambi haiwezekani. Jibu lisiseme free will, hatuna hiyo inayoitwa free will katika mengi sana na hata kui define tu watu hawawezi.
2. Inakuwaje Mungu awe ndiyo mtoa rehema ya kumjua, anachagua mwenyewe nani amjue na nani asimjue, halafu mtu akishindwa kumjua Mungu, kwa sababu Mungu hajamchagua huyo mtu kumpa neema yake Mungu ya kumjua, huyo mtu aonekane ana makosa, ahukumiwe kuchomwa moto? Baba anawezaje kumhukumu mtoto ambaye hajui kusoma, kama mtoto hajui kusoma kwa sababu baba ndiye aliyemnyima nafasi ya kwenda shule?
3. Inakuwaje mahakama za watu tu zinakataza mtoto kuhukumiwa kwa makosa ya mzazi, lakini vitabu vya Mungu vinasema Mungu anahukumu watoto na wajukuu vizazi hata vizazi? Kwa kosa la mzazi wa zamani sana? Huyu Mungu mbona haki yake haijafikia hata haki yetu watu tu?
4. Mnasema Mungu anajua yote. Anayajua maisha ya mtu yote mwanzo mpaka mwisho kabla hata mtu hajaishi. Na anachojua huyo Mungu kitatokea, ni lazima kitokee. Anavyojua si kama utabiri wa hali ya hewa kwamba kuna 80% ya mvua. Yeye anajua kitu kamili hakina utata. Sasa kama anajua hivyo, ina maana mtu muuaji, alimjua huyu atakuwa muuaji kabla hata hajazaliwa. Na muuaji huyo hawezi kuepuka kuua hata afanye nini. Kwa sababu kuepuka kuua wakati Mungu kashajua huyu ataua ni kum prove Mungu wrong. Sasa kama huyu mtu anaenda kuwa muuaji, na hana jinsi ya kuepuka hilo, tutasemaje ana uhuru wa kuamua na anaua kwa uamuzu wake na atahukumiwa motoni kwa uuaji?
5. Mbona hivyo vitabu vinavyosemwa ni vya Mungu vina contradictions lukuki?
6. Mbona huyo Mungu mnayemsema yupo hathibitishiki? Anajificha asijulikanw vizuri kwa nini? Kwa nini hakufanya ulimwengu uweze kumjua vizuri bila uwezo wowote wa kuwepo ubishi juu ya uwepo wake?
7. Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote anaweza kuumba jiwe zito sana kiasi yeye mwenyewe ashindwe kulibeba? Akiweza kuumba jiwe hilo, atakuwa hawezi yote, maana kuna jiwe atakuwa kashindwa kulibeba. Akishindwa kuumba jiwe hilo, atakuwa hawezi yote maana kuna jiwe atakuwa kashindwa kuliumba.
8. Kwa nini Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, ameruhusu kifo kitenganishe wapendanao, baba na mama, wazazi na mtoto, marafiki etc, wakati alikuwa na uwezo, ujuzi na upendo wote wa kuumba ulimwengu ambao kifo hakiwezekani kuwepo?
Kwa nini watetezi wa Quran waajitapa sana kusema vitu fulani vichache vimethibitishwa kisayansi, kuinadi Quran kama kitabu cha ukweli, wakati vingi sana vina contradictions ama vinapingana na sayansi ama havijathibitishwa kisayansi, hawasemi vinapingana nansayansi au havijathibitishwa kisayansi?
10.Kama kuna Mungu kweli, kwa nini karuhusu confusion ya dini nyingi tofauti kuwa na vitabu vingi tofauti vyote vinasema vya Mungu wa kweli?
Kwa leo tuishie na maswali haya 10.
Unaweza kujibu ?
Ni kweli kabisa mkuu.
Ndio maana stori hii inasadifu kichwa chake cha habari, kwamba ni masimulizi ya Biblia kwa jicho jingine.
Nakubaliana na wewe kuwa dini nyingine nazo zina versions zao, lakini kujifunza mambo ya wengine ni jambo jema pia ili kupanua ufahamu na kuelewa yale ambayo ulikuwa huyajui.
Mimi Quran naisoma pia mkuu, lakini sijapata wasaa wa kuichambua kwa upana, ila nikipata nitaichambua pia.
Ila kama kuna mtu pia anafahamu historia ya dunia kwa jicho la Quran au dini yoyote au kitabu chochote anaweza kuileta hapa, ila cha msingi tu mjadala usianze kuwa wa kidini na kuaza sarakasi za kidini tulizozoea humu JF....
Question number 7 ni UTOTO Wa hali ya Juu Brother, Try to be relevant kidgo, uliza swali la kueleweka!
popote pale unapotaja jina la YESU haijalishi
unataja kwa kilugha au kwa kibongo
but mapepo yana Hali ya utambuzi
na jina la YESU NI fireee kweli kweli.
so mapepo yatatambua kuwa umemgusia YESU mwana wa MUNGU
kuna tofauti kubwa Kati ya YESU mwana wa Mungu na issa bint Maryam
dats Y? kwa waislamu hata ukisema kwa jina la issa bint Maryam Pepo hazitapata tabu sanaaa
but washa moto kwa kibwagizo cha jina la YESU KRISTO mwana wa Mungu aseee.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ni sawa na kusema kwa damu ya YESU na kwa damu Ya issa
All in all Jina la YESU litaendelea kuwa Kubwa kuliko hata jina la Mtume (SAW)
...hicho ndio nilichojiuliza hata mm,...coz hizi story kwa waislam,wahindu,Buddha & co...ni just ubatili mtupu
TrueHapo mkuu haujawaweka hao wana wa Israel ambao pia hawaamini ktk muktadha wa Masiha/Masihi huyu wa Wakristu wengi
Na sehemu kubwa ya hata hizi story za mtoa mada katoa kwa hao hao na kachukua hapa na pale kwenye mapokeo, hadithi za kufikirika,kutunga za hao hao wa Israel
Kama mlivyo mshauri alete kwanza ushahidi wake na uhalali wa bandiko ili na ukiwa unagusa ‘at least’ makundi yote kwa namna moja ama nyingine na si kusema tu ukifika mbinguni ktk huo utatu unaweza kumkuta tu Yesu pekee na unajua hata huku duniani tumegawanyika sana ki iman na hata hao wenye historia hizi ‘Jews ‘ hawamkubali masiha huyo
Kwa kuongeza ufahamu na kupata picha sio mbaya nasi kujua lkn kwa kuleta kama somo nafikiri kwa maeneo kama kanisani hii mada inafaa sana maana inategemea aina ya Iman ya muhusika
Nimemjibu ki ufasaha hebu pitia jibu languNadhani mkuu zitto upo correct japo utaeleweka kwa tabu niliwahi gusia hili jambo nikapingwa kabisa. Tumesahau hilo ni jina tu na kuna mahali halitumiki hivyo. Nafikiria zaidi Imani ndiyo kila kitu
Yaah watu Hawa Mungu huwaweka kwa Makusudi maalumuKwakweli mkuu, kiranga yuko very zealous kuliko hata Paul. Kuna siku atakutana na Yesu na atakuwa 'chombo' kimfaacho Bwana kwa kazi ya wokovu. Tuendelee kumuombea.
MKUU hebu soma bandiko la mleta maada hapo juu.amechambua VIZURI kuhusu Mapepo na huo ushirikinaBro hivi MAPEPO ni akina nani na kwanini wameitwa mapepo hao akina nani ? Na hili tamko limeanza kutumika lini ?
Ila je unajua nini maana ya USHIRIKINA ?
Je kwa hoja ipi unaweza kutokea juu ya kuutenganisha UKRISTO na USHIRIKINA ?
Nipo......
MKUU hebu soma bandiko la mleta maada hapo juu.amechambua VIZURI kuhusu Mapepo na huo ushirikina
kuna tofaut kubwa sanaaa Kati ya Ukristo na Ushirikina
lakini kuna
ukaribu Mkubwa sanaaa Kati ya
Uislam na Ushirikina
ukija muendelezo N tagKaribu kwenye jukwaa la intelijensia...
asee sifa kubwa ya elimuNimesoma ndio maana nikauliza maswali hayo.
Sasa nakuomba ujibu wewe kama unaweza au uwaulize wenzako kisha unipe majibu.
Mimi nitakuthibitishia kwanini UKRISTO ni USHIRIKINA....
asee sifa kubwa ya elimu
hupatikana mahali popote.
binafsi sikuwah fahamu/waza kuwa Ukristo ni ushirikina
naomba unidhibitishie coz me nimeshidwa
msaada Muungwana