Biblia ndiyo imejenga Ulaya na Wazungu!

Biblia ndiyo imejenga Ulaya na Wazungu!

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,817
Wazungu wameendelea na wana utamaduni ambao wote leo hii tunauiga au tunataka kuuiga lkn kama ulikuwa haufahamu Wazungu wameendelea kwa sababu ya UKRISTO, yaani mfumo wa Kizungu ni kwamba uliongozwa na mafundisho ya Biblia na ndiyo maana wamefikia hapo walipofikia, ukisikia wakisema Western Civilization maana yake ni kwamba ni Ukristo na Biblia!

Hata Ubepari au Capitalism kama ujulikanavyo kwa Kizungu umetokana na Biblia, bila ya Ukristo na Biblia hakuna Capitalism!
Sheria zote za Kizungu ambazo leo hii tunaziiga kama Common law ya Uingereza, French law, German law ambayo ndiyo inatumika Ujapani, Uchina na kwingineko imetokana Biblia na Ukristo, hivyo tukitaka kuendelea kwenye Dunia inayaofuata na kuongozwa na mfumo wa Kizungu ni lazima tuiishi Biblia au tuchanganye lkn ni lazima tuielewe Biblia na mafundisho yake na kuyaishi na siyo kuishia kukariri vifungu tu, bila ya hivyo tutabakia kuwa wa mwisho siku zote labda mpaka Kimondo kishuke Duniani na kuua sehemu kubwa ya Dunia na kutoa nafasi kwa Ustaarabu mwingine kunyanyuka lkn mpaka hiyo siku ifike Ukristo na Biblia ndiyo way to go!
 
" Mkikubali na kutii mtakula mema ya nchi, mkikataa mtaangamia kwa upanga".... Bible
"Ukinisujudu ntakupa milki yote ya dunia"...shetani
"Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa"....Bible
 
Well spoken watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa ndiyo maana tawala anapojidai anamtanguliza Mungu kwa maneno lakini ukawa ni kinyume ni shida hata maendeleo hawawezi kupatikana. Ataishiya kukamatwa na akina Tundu bure na ghafula "hamadi" miaka miaka mkutano tayari
 
Mtoa mada kafuraaaahi hapo,maana anajua michango itakuja kwa namna gani.
 
ustaarabu wa kimagharibi ndio mafundisho ya Biblia?
 
Wazungu wameendelea na wana utamaduni ambao wote leo hii tunauiga au tunataka kuuiga lkn kama ulikuwa haufahamu Wazungu wameendelea kwa sababu ya UKRISTO, yaani mfumo wa Kizungu ni kwamba uliongozwa na mafundisho ya Biblia na ndiyo maana wamefikia hapo walipofikia, ukisikia wakisema Western Civilization maana yake ni kwamba ni Ukristo na Biblia!

Hata Ubepari au Capitalism kama ujulikanavyo kwa Kizungu umetokana na Biblia, bila ya Ukristo na Biblia hakuna Capitalism!
Sheria zote za Kizungu ambazo leo hii tunaziiga kama Common law ya Uingereza, French law, German law ambayo ndiyo inatumika Ujapani, Uchina na kwingineko imetokana Biblia na Ukristo, hivyo tukitaka kuendelea kwenye Dunia inayaofuata na kuongozwa na mfumo wa Kizungu ni lazima tuiishi Biblia au tuchanganye lkn ni lazima tuielewe Biblia na mafundisho yake na kuyaishi na siyo kuishia kukariri vifungu tu, bila ya hivyo tutabakia kuwa wa mwisho siku zote labda mpaka Kimondo kishuke Duniani na kuua sehemu kubwa ya Dunia na kutoa nafasi kwa Ustaarabu mwingine kunyanyuka lkn mpaka hiyo siku ifike Ukristo na Biblia ndiyo way to go!

Mkuu mbona unaandika upumbav hapa?
 
Wazungu wameendelea na wana utamaduni ambao wote leo hii tunauiga au tunataka kuuiga lkn kama ulikuwa haufahamu Wazungu wameendelea kwa sababu ya UKRISTO, yaani mfumo wa Kizungu ni kwamba uliongozwa na mafundisho ya Biblia na ndiyo maana wamefikia hapo walipofikia, ukisikia wakisema Western Civilization maana yake ni kwamba ni Ukristo na Biblia!

Hata Ubepari au Capitalism kama ujulikanavyo kwa Kizungu umetokana na Biblia, bila ya Ukristo na Biblia hakuna Capitalism!
Sheria zote za Kizungu ambazo leo hii tunaziiga kama Common law ya Uingereza, French law, German law ambayo ndiyo inatumika Ujapani, Uchina na kwingineko imetokana Biblia na Ukristo, hivyo tukitaka kuendelea kwenye Dunia inayaofuata na kuongozwa na mfumo wa Kizungu ni lazima tuiishi Biblia au tuchanganye lkn ni lazima tuielewe Biblia na mafundisho yake na kuyaishi na siyo kuishia kukariri vifungu tu, bila ya hivyo tutabakia kuwa wa mwisho siku zote labda mpaka Kimondo kishuke Duniani na kuua sehemu kubwa ya Dunia na kutoa nafasi kwa Ustaarabu mwingine kunyanyuka lkn mpaka hiyo siku ifike Ukristo na Biblia ndiyo way to go!
HUJUI HISTORIA!!!!
 
Na ushoga nao siku hizi umekua ni western civilization je nao upo kwenye ukristo au Biblia?
 
Mkuu kidogo napingana nawe.. Nikiangalia ukristo haswa uko marekani ya kusini ambako maendeleo yao kama sisi tu (ukitoa vinara wachache kama Brazili, Argentina na puerto Rico) pia ukija upande wa pili kuna mataifa ambayo hayataki kusikia Ukristo wala uislam na mataifa haya yako mbele kiustaarabu kitamaduni na kiuchumi kwa karne nyingi sana (uchina.. japan.. Na Kwa kiasi flan Mongolia ya kina Genghis Khan)
 
Na ushoga nao siku hizi umekua ni western civilization je nao upo kwenye ukristo au Biblia?


Unachanganya mambo ushoga siyo Umagharibi upo Dunia nzima na Tamaduni zote mpaka kwetu ukienda Zanzibar au Mombasa ndiyo utajua hata hapa Dar mashoga wapo kibao!
 
Elimu, elimu, elimu, hakuna ugonjwa na adui mbaya kama ujinga. We mtoa mada umekuja kutufaraisha na historia yako, hayo ndiyo uliyojaza jaza kichwani?
 
Unachanganya mambo ushoga siyo Umagharibi upo Dunia nzima na Tamaduni zote mpaka kwetu ukienda Zanzibar au Mombasa ndiyo utajua hata hapa Dar mashoga wapo kibao!
Umeshindwa kujibu umeruka ruka tu
 
Back
Top Bottom