Kampkie chai shemej yako, amka hapo kwnye sofa harakaKumbe Putin anapigana na watu ambao hawana uwezo wa land mine? Duuuu! Ni vichekesho sana
Kweli. Tena nna wasiwasi hata watu wake wa karibu wanaweza "kumshughulikia"!. Ni suala la muda tu.Putin ana maisha mafupi sana yajayo