Trump aliapa atawekeza nguvu kubwa kuleta makubaliano ya kuituliza vita ya Ukraine na Russia, Siku chache baada ya kushinda uraisi, Putin rais wa Urusi alisema yupo tayari kwa majadiliano ya kuimaliza vita.
Hii imewauma sana Democrats, Kwamba Trump anaenda atajizolea points akiimaliza vita.
Kilichoanza ni mikakati ya kumwagia petroli moto unaozimika, Mpangaji aliepewa notisi ya miezi miwili kuondoka kumpisha mpangaji mpya kaanza kuchana singibodi, kuchafua rangi, kungoa vitasa, kubamiza fenicha, yote hii ni kisasi kwa mpangaji mpya.
Joe Biden (Nyuma yake wapo kina Obama) ameiruhusu Ukraine kushambulia ndani ya Urusi kwa makombora ya masafa marefu ya Marekani, Jitihada zote hizi ni kuichochea vita.
Trump anaingia mjengoni vita imepamba moto, Itakuwa ni ngumu sana kupata suluhisho kwa njia ya Diplomasia
Hii imewauma sana Democrats, Kwamba Trump anaenda atajizolea points akiimaliza vita.
Kilichoanza ni mikakati ya kumwagia petroli moto unaozimika, Mpangaji aliepewa notisi ya miezi miwili kuondoka kumpisha mpangaji mpya kaanza kuchana singibodi, kuchafua rangi, kungoa vitasa, kubamiza fenicha, yote hii ni kisasi kwa mpangaji mpya.
Joe Biden (Nyuma yake wapo kina Obama) ameiruhusu Ukraine kushambulia ndani ya Urusi kwa makombora ya masafa marefu ya Marekani, Jitihada zote hizi ni kuichochea vita.
Trump anaingia mjengoni vita imepamba moto, Itakuwa ni ngumu sana kupata suluhisho kwa njia ya Diplomasia