pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Hivi kichwani una akili wewe kweli? au hujui ulichoandika?Russia anahaki zote za kulinda mipaka yake zidi ya magaidi wa nato
Naona USA/NATO wao walienda kutangaza injili kwny hizo nchi.Hivi kichwani una akili wewe kweli? au hujui ulichoandika?
Yaani nchi ingine ivamie nchi nyinge yenye uhuru kama nchi ingine kisha useme inalinda mipaka yake?
Unajua maana ya mipaka kweli wewe?
Bora ungekaa kimya kuficha umbumbumbu wako!
Siasa za dunia hizo, mwenye nguvu (Wamaghribi) wanamiliki vyombo vya habari, hufanya unyama wautakao, wanatumia habari kuhalalisha unyama huo, ila wengine wakifanya (Urusi + China) wanasema ni ushenzi .....Sawa walivamia.
Kwa hiyo kama marekani walivamia nchi hizo maana yake kwamba na putin ni halali kwake kuvamia ukraine ?
Akifanya marekani dhambi na sisi inakuwa halalia kwetu kwa vile kafanya marekani ?
North Korea sio tishio, ni joka la kibisa.NATO washirikiane kwanza na US kumtandika NK halafu ndio waende kwa Putin.
Halafu walishindwa nini kumtandika NK?
🤣🤣🤣🤣🤣 Jana North Korea kafanya jaribia la kombola la masafa marefu. USA na mazezeta wanzake wamechanganyikiwa.NATO washirikiane kwanza na US kumtandika NK halafu ndio waende kwa Putin.
Halafu walishindwa nini kumtandika NK?
Hahaaaa!!leo hujamsikia putin ameamua kubadirisha gia angani!!kuwa malengo yake ya awamu ya kwanza sasa yametimia, nguvu zake anahamishia kuyakomboa majimbo ya DONESK, na luhanski!! Wataalam wa mambo ya siasa wanahisi kuwa imetokana na kukutana na nguvu ambayo hakuitegemea toka kwenye jeshi la ukraine!!Biden anazeeka vibaya.
Yule walishampuuza tu, lakini siku waamue na liwalo lile mbona mweupe sana!!yaani nguvu za majeshi ya NATO, yaamue sasa N.KOREA, lazima ashughurikiwe ipasavyo utaona.North Korea sio tishio, ni joka la kibisa.
Hizi nyuzi humu zingekua na watu kama wewe zingekua zamaana zaidiHapana, kinachotushangaza ni kwamba anaeongoza kusababisha machafuko duniani, ndio anajidai yuko mstari wa mbele kukemea wengine.
Watu wengi hawana ubaya na Ukraine, ni vile tu hawapendi double standards. Wakivamia NATO na shoga yake USA, hakuna kelele. Akivamia Russia, wao ndio wanaongoza kupiga kelele. Hiki ndicho tunachokipinga. Maana mchawi mkuu, ndio anajifanya yuko mstari wa mbele kupinga uchawi.
Mwisho kabisa, the world needs tha balance of power. Dunia haitakua salama kama kukiwa na kiranja mmoja ambae akiamua la kwake, hakuna wa kupinga. Na wengine wakiamua ya kwao, yeye anaingilia. Hatufurahii ubabe wa Putin, lakini ubabe wake ni muhimu sana katika kutengeneza balance of power na amani ya dunia kwa ujumla.
Gharama ya kuipata amani ya dunia ni kubwa mno, sometimes inabidi kumwaga damu ya wasio na hatia kama raia wa Ukraine. Ili next time, kabla mtu hajaleta uchokozi, awe anajua kabisa kutakua na consequences!
Adiós
Hivi kichwani una akili wewe kweli? au hujui ulichoandika?
Yaani nchi ingine ivamie nchi nyinge yenye uhuru kama nchi ingine kisha useme inalinda mipaka yake?
Unajua maana ya mipaka kweli wewe?
Bora ungekaa kimya kuficha umbumbumbu wako!
Hahaaaa!!leo hujamsikia putin ameamua kubadirisha gia angani!!kuwa malengo yake ya awamu ya kwanza sasa yametimia, nguvu zake anahamishia kuyakomboa majimbo ya DONESK, na luhanski!! Wataalam wa mambo ya siasa wanahisi kuwa imetokana na kukutana na nguvu ambayo hakuitegemea toka kwenye jeshi la ukraine!!
Nagaidi wao na wao wakuwa wafadhili wao wa nchi hizo walivamia Trade centre Marekani na kuiporomosha wasingevamia au kuwafadhili Marekani asingewavamiaHivi hawa Marekani mbona waliivamia Iraq na Afghanistan? au zile hazikuwa nchi huru?
... Marusi huwa yanajisifia yalikufa 20 million during WWII kana kwamba kufa kwa wingi ni sifa. Modern technology focuses on minimizing not only deaths but also injuries. Majenerali wanauliwa kama kuku halafu majitu yanajisifia! Joe Biden amewasili Poland jioni hii to assess the situation before taking the necessary actions.A joke from Moscow: "According to Putin the special military operation is really a conflict btw Russia and NATO about World dominance. Whats the situation now?" "Russia has lost 15000 troops, 6 generals, 500 tanks, 3 ships, 100 planes and 1000 trucks. NATO hasn't arrived yet."
Mbona Tanzania mrussia hajatuvamia?Nagaidi wao na wao wakuwa wafadhili wao wa nchi hizo walivamia Trade centre Marekani na kuiporomosha wasingevamia au kuwafadhili Marekani asingewavamia
Mbona Tanzania mmarekani hajatuvamia
Hiki kizee kinaweza kufa mapema , kwa umri wake na hizi changamoto za jemadari Putin
Rais Joe Biden wa Marekani amesema madikteta ambao hawawajibishwi kutokana na uchokozi wao ndio wanaosababisha machafuko zaidi na kuongeza kuwa uvamizi wa rais Vladimir Putin wa Urusi nchini Ukraine ulikuwa ni wa kupangwa na wala haukuchochewa
Rais Biden ameyasema hayo kwenye hotuba ya hali ya taifa aliyoitoa kwa bunge la Marekani. Biden amegusia pia umuhimu wa washirika wake wa Ulaya akisema muungano ulioanzishwa baada ya Vita vya Pili vya duniani ili kurejesha amani na ustahmilivu una umuhimu mkubwa pia katika kipindi hiki na kusema Putin alikosea sana kuamini angeweza kuugawanya ushirikiano wa NATO, kwa kukataa juhudi za kidiplomasia.
Waziri wa mambo ya nje wa Ujerumani Annalena Baerbock kwa upande wake ametoa mwito kwa mataifa wanachama wa Umoja wa Mataifa kuunga mkono azimio la kulaani uvamizi huo wa Urusi, akisema ni wakati sasa wa kuchagua kati ya amani ama uvamizi, haki ama matakwa ya wenye nguvu, kuchukua hatua ama kufumbia macho. Amesema hayo kwenye mkutano wa dharura wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa mjini New York.
Aidha balozi wa Urusi kwenye Umoja huo Gennady Gatilov amesemaUkraine haina nia ya kujaribu kusaka suluhisho halali na la usawa kuhusiana na mzozo baina yao. Amesema hayo akiwa mjini Geneva, kwenye mahojiano na kituo cha televisheni cha nchini Lebanon.
Shrika la habari la Urusi la RIA, lilimnukuu Gutilov kwenye mahojiano hayo akisema Urusi inaunga mkono diplomasia na usawa, lakini kwa sasa hawalioni hilo na kuongeza huu ni wakati muafaka wa kondoa silaha za nyuklia mashariki na magharibi mwa Ulaya.
Mbali na Urusi, wanajeshi wa mataifa mengine yenye nguvu kinyuklia barani Ulaya, Ufaransa na Uingereza pamoja na Marekani, ambayo pia yanamiliki silaha nyingi za nyuklia miongoni mwa wanachama wa NATO wamepiga kambi barani Ulaya
Biden hana uwezo wa kupeleka askari hata mmoja kwenye ardhi ya Warusi, wanacho weza ni kupeleka silaha Ukraine, na pale Ukraine yatabaki magofu, hata lile anga la saudi Arabia ni silaha za mmarekani lakin Drone na rockets za Houthi zinapiga kama kawaida... Marusi huwa yanajisifia yalikufa 20 million during WWII kana kwamba kufa kwa wingi ni sifa. Modern technology focuses on minimizing not only deaths but also injuries. Majenerali wanauliwa kama kuku halafu majitu yanajisifia! Joe Biden amewasili Poland jioni hii to assess the situation before taking the necessary actions.
Anga lote Eastern Europe is fully controlled na nchi washirika. The fascist days are numbered.
[emoji1][emoji1][emoji1] kwa kukufariji tu NATO hua wako vzr,Ila field hua hawakanyagi ng'o.... Marusi huwa yanajisifia yalikufa 20 million during WWII kana kwamba kufa kwa wingi ni sifa. Modern technology focuses on minimizing not only deaths but also injuries. Majenerali wanauliwa kama kuku halafu majitu yanajisifia! Joe Biden amewasili Poland jioni hii to assess the situation before taking the necessary actions.
Anga lote Eastern Europe is fully controlled na nchi washirika. The fascist days are numbered.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Hiki kizee kinaweza kufa mapema , kwa umri wake na hizi changamoto za jemadari Putin
Ahahahahahahaha[emoji1][emoji1][emoji1] kwa kukufariji tu NATO hua wako vzr,Ila field hua hawakanyagi ng'o.View attachment 2165227
Ahahahahaha[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]View attachment 2165228