Nadhani si vema kwa Rais wa Marekani kuwa madarakani huku akituhumiwa wizi wa kura. Kama kura hazikuibiwa, itakuwa ni ushindi maridhawa kwa Team Biden. Kama kura ziliibiwa, basi Trump arudi madarakani. Wazikague kura, wahesabu upya, na wachakate upya. Vyovyote vile kujiridhisha. Maana sasa hivi dunia inaangalia.
Baada ya hayo waweke utaratibu ambao itakuwa ni vigumu kwa mtu yoyote kudai kaibiwa kura.