Biden, USA, you are unfair!

Biden, USA, you are unfair!

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
Its a shame that a country as sane as the USA, could force other countries into supporting queer lecherous human behavior.
And not only that, but that men can marry men, women can also marry women, and that that is the new human rights standard for human beings, as per the uSA.
That is totally obnoxious and blasphemous.
USA doesn't have the right to impose bad morals on poor countries.

Biden is not only morally wrong, but also is leading the richest country in the world into moral decay and decadence.
 
Its a shame that a country as sane as the USA, could force other countries into supporting queer lecherous human behavior.
And not only that, but that men can marry men, women can also marry women, and that that is the new human rights standard for human beings, as per the uSA.
That is totally obnoxious and blasphemous.
USA doesn't have the right to impose bad morals on poor countries.

Biden is not only morally wrong, but also is leading the richest country in the world into moral decay and decadence.
I wonder what could be the basis for their support for LGBTQ, as the notion is against the teachings of the Bible..
1685456937419.png
 
Utailaumu USA bure, ila tatizo ni Corporations na Democrats
 
Tatizo sio Rais Biden, Bali tatizo ni watu walionyuma ya pazia ambao ndio wanaoiendesha marekani kufikia malengo wanayotaka wao.
Ili kuibadilisha hii dunia kuendana na vile wapendavyo wao, na wameshafanikisha mambo mengi sana mfano, ni huu mfumo feki wa maisha tunayoishi wanadamu.

Ambao hatukupangiwa kabisa na Mwenyezi MUNGU, Sasa mtoa mada Wala usimlalamikie kabisa Biden maana huyo ni temporary employment, ambae ni puppet aliowekwa kukamilisha mipango ya wakubwa wa dunia.

Hivyo ni ngumu kwenda kinyume na waliomweka hapo,vinginevyo labda awe anataka kuwafuata waliomtangulia, akina Abraham Lincoln na John f Kennedy. Nadhani unajua kilichowakuta hao Marais wa 2 walipotaka kwenda kinyume nama elites.

Hivyo kuhusu suala la ushoga kupitia sapoti wanayotoa kwa LGBTQ, lengo kubwa kabisa ni depopulation (kupungua kwa watu duniani) ili wafanikishe new world order. Maana mkiwa mashoga kwa asilimia kubwa duniani, jua hata kuzaliana kwenu kutapungua kwa kiasi kikubwa sana duniani.

Na hili jambo wanalikazania sana, kwa sababu vita na machafuko mbalimbali, yanayoendelea duniani pamoja na magonjwa feki ya michongo Kama covid19,ukimwi n.k bado yanafanya. Depopulation inaenda taratibu katika kufikia malengo yao ya kuitawala dunia, yapo mengine zaidi yanayofanywa, katika kukamilisha malengo yao.

Hivyo ni hitimishe kwa kusema nenda kasome katika biblia, mwanzo sura ya 1 mstari wa 28, ndio utajua kwanini wanapingana na amri ya MUNGU. Kupitia wao kusapoti kwa nguvu kubwa sana suala la ushoga.
 
Tatizo sio Rais Biden, Bali tatizo ni watu walionyuma ya pazia ambao ndio wanaoiendesha marekani kufikia malengo wanayotaka wao.
Ili kuibadilisha hii dunia kuendana na vile wapendavyo wao, na wameshafanikisha mambo mengi sana mfano, ni huu mfumo feki wa maisha tunayoishi wanadamu.

Ambao hatukupangiwa kabisa na Mwenyezi MUNGU, Sasa mtoa mada Wala usimlalamikie kabisa Biden maana huyo ni temporary employment, ambae ni puppet aliowekwa kukamilisha mipango ya wakubwa wa dunia.

Hivyo ni ngumu kwenda kinyume na waliomweka hapo,vinginevyo labda awe anataka kuwafuata waliomtangulia, akina Abraham Lincoln na John f Kennedy. Nadhani unajua kilichowakuta hao Marais wa 2 walipotaka kwenda kinyume nama elites.

Hivyo kuhusu suala la ushoga kupitia sapoti wanayotoa kwa LGBTQ, lengo kubwa kabisa ni depopulation (kupungua kwa watu duniani) ili wafanikishe new world order. Maana mkiwa mashoga kwa asilimia kubwa duniani, jua hata kuzaliana kwenu kutapungua kwa kiasi kikubwa sana duniani.

Na hili jambo wanalikazania sana, kwa sababu vita na machafuko mbalimbali, yanayoendelea duniani pamoja na magonjwa feki ya michongo Kama covid19,ukimwi n.k bado yanafanya. Depopulation inaenda taratibu katika kufikia malengo yao ya kuitawala dunia, yapo mengine zaidi yanayofanywa, katika kukamilisha malengo yao.

Hivyo ni hitimishe kwa kusema nenda kasome katika biblia, mwanzo sura ya 1 mstari wa 28, ndio utajua kwanini wanapingana na amri ya MUNGU. Kupitia wao kusapoti kwa nguvu kubwa sana suala la ushoga.
Nakubaliana na wewe mkuu.
Lakini ni jukumu letu waafrika kuwazomea na kuwalaumu hawa watu ambao kiukweli wamepotoka kibinadamu.
 
Biden,papa wanatiii maagizo ya mnyama kwa usalama wa maisha yao,wakienda kinyume tu wanauwawa
Mnyama ni mfumo unaoendesha Dunia wazee
 
Hili la population control kupitia ushoga nalo litafeli tu Kama ilivyofeli uzazi wa mpango Africa na uarabuni.
Ndo wajue si Kila time wapo right
 
.
USA is merely a puppy, a tool to enforce the means.
.
There is a much much bigger power behind this...prince of the world...the satan himself.
 
Nakubaliana na wewe mkuu.
Lakini ni jukumu letu waafrika kuwazomea na kuwalaumu hawa watu ambao kiukweli wamepotoka kibinadamu.
Sawa Mkuu, lakini hilo haliondoi chochote kwa kipindi hiki dunia ilipofikia. Bali the only solution ni kuishi kwa kumtanguliza na kumpenda Mwenyezi MUNGU, ndio usalama ulipo. Sababu lengo la haya yote ni kukutenganisha na aliyekuumba.
 
Tatizo sio Rais Biden, Bali tatizo ni watu walionyuma ya pazia ambao ndio wanaoiendesha marekani kufikia malengo wanayotaka wao.
Ili kuibadilisha hii dunia kuendana na vile wapendavyo wao, na wameshafanikisha mambo mengi sana mfano, ni huu mfumo feki wa maisha tunayoishi wanadamu.

Ambao hatukupangiwa kabisa na Mwenyezi MUNGU, Sasa mtoa mada Wala usimlalamikie kabisa Biden maana huyo ni temporary employment, ambae ni puppet aliowekwa kukamilisha mipango ya wakubwa wa dunia.

Hivyo ni ngumu kwenda kinyume na waliomweka hapo,vinginevyo labda awe anataka kuwafuata waliomtangulia, akina Abraham Lincoln na John f Kennedy. Nadhani unajua kilichowakuta hao Marais wa 2 walipotaka kwenda kinyume nama elites.

Hivyo kuhusu suala la ushoga kupitia sapoti wanayotoa kwa LGBTQ, lengo kubwa kabisa ni depopulation (kupungua kwa watu duniani) ili wafanikishe new world order. Maana mkiwa mashoga kwa asilimia kubwa duniani, jua hata kuzaliana kwenu kutapungua kwa kiasi kikubwa sana duniani.

Na hili jambo wanalikazania sana, kwa sababu vita na machafuko mbalimbali, yanayoendelea duniani pamoja na magonjwa feki ya michongo Kama covid19,ukimwi n.k bado yanafanya. Depopulation inaenda taratibu katika kufikia malengo yao ya kuitawala dunia, yapo mengine zaidi yanayofanywa, katika kukamilisha malengo yao.

Hivyo ni hitimishe kwa kusema nenda kasome katika biblia, mwanzo sura ya 1 mstari wa 28, ndio utajua kwanini wanapingana na amri ya MUNGU. Kupitia wao kusapoti kwa nguvu kubwa sana suala la ushoga.
Hivi nyie watu wazungu wakitaka Depopulation, ndo watumie ushogaa? Mbna wana njia nyingi mnoo za kuangamiza tena siku 3 tyuuh wote tunaisha.

Wao wanatambua haki na misingi ya binadamu wake.
 
Hivi nyie watu wazungu wakitaka Depopulation, ndo watumie ushogaa? Mbna wana njia nyingi mnoo za kuangamiza tena siku 3 tyuuh wote tunaisha.

Wao wanatambua haki na misingi ya binadamu wake.
Nipende kusema jitahidi sana kutokuongozwa na hisia, pia jifunze kusoma na kumwomba MUNGU utapona. Maana siku zote penye ukweli uongo hujitenga.
Hivyo sina la ziada Mkuu majadiliano yetu yaishie hapa.
 
Tatizo sio Rais Biden, Bali tatizo ni watu walionyuma ya pazia ambao ndio wanaoiendesha marekani kufikia malengo wanayotaka wao.
Ili kuibadilisha hii dunia kuendana na vile wapendavyo wao, na wameshafanikisha mambo mengi sana mfano, ni huu mfumo feki wa maisha tunayoishi wanadamu.

Ambao hatukupangiwa kabisa na Mwenyezi MUNGU, Sasa mtoa mada Wala usimlalamikie kabisa Biden maana huyo ni temporary employment, ambae ni puppet aliowekwa kukamilisha mipango ya wakubwa wa dunia.

Hivyo ni ngumu kwenda kinyume na waliomweka hapo,vinginevyo labda awe anataka kuwafuata waliomtangulia, akina Abraham Lincoln na John f Kennedy. Nadhani unajua kilichowakuta hao Marais wa 2 walipotaka kwenda kinyume nama elites.

Hivyo kuhusu suala la ushoga kupitia sapoti wanayotoa kwa LGBTQ, lengo kubwa kabisa ni depopulation (kupungua kwa watu duniani) ili wafanikishe new world order. Maana mkiwa mashoga kwa asilimia kubwa duniani, jua hata kuzaliana kwenu kutapungua kwa kiasi kikubwa sana duniani.

Na hili jambo wanalikazania sana, kwa sababu vita na machafuko mbalimbali, yanayoendelea duniani pamoja na magonjwa feki ya michongo Kama covid19,ukimwi n.k bado yanafanya. Depopulation inaenda taratibu katika kufikia malengo yao ya kuitawala dunia, yapo mengine zaidi yanayofanywa, katika kukamilisha malengo yao.

Hivyo ni hitimishe kwa kusema nenda kasome katika biblia, mwanzo sura ya 1 mstari wa 28, ndio utajua kwanini wanapingana na amri ya MUNGU. Kupitia wao kusapoti kwa nguvu kubwa sana suala la ushoga.
Nakubaliana na wewe mkuu

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Its a shame that a country as sane as the USA, could force other countries into supporting queer lecherous human behavior.
And not only that, but that men can marry men, women can also marry women, and that that is the new human rights standard for human beings, as per the uSA.
That is totally obnoxious and blasphemous.
USA doesn't have the right to impose bad morals on poor countries.

Biden is not only morally wrong, but also is leading the richest country in the world into moral decay and decadence.
Huna hela tulia, huna moyo kama wa mataliban tulia.
 
Back
Top Bottom