#COVID19 Biden Vs Trump kwenye COVID-19

#COVID19 Biden Vs Trump kwenye COVID-19

Mto wa mbu

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2021
Posts
2,228
Reaction score
3,045
Katika vitu vilivyompa wakati Mgumu Trump, ni jinsi alivyoshughuliia Covid-19, Democrats walimshukia hatari kinoma.

Joe Biden kwenye kampeni alisema " any one who is responsible to these many death , should not remain as a president of United States" akaongeze kwa kusema " I will shut down the virus not the country". Na kweli wamarekani wakampa kura za kutosha.

Chini ya Trump, Covid-19 ilikuwa janga jipya halikumuaga mtu, ila jamaa alipambana, rapid test, ventilators, masks vyote vilitengenezwa chapu,Chanjo zote za Covid-19 kwa Marekani zimetengenezwa under Trump, Mpaka Trump anaachia ofisi wamarekani waliokufa kwa Covid-19 Ni 400,000.

Biden kakuta Chanjo, kakuta kila kitu full ventilators, PEP, masks etc lakini ndani ya mwaka vifo vya Covid-19 ni 402,154, more under Trump.

Sahivi Marekani wanakachukia aka kababu hatari, kamefeli kila mahari, kwenye pandemic, kwenye withdraw Afghanistan, kwenye inflation.

2024 Trump atashinda Tena uraisi
 
Katika vitu vilivyompa wakati Mgumu Trump, ni jinsi alivyoshughuliia Covid-19, Democrats walimshukia hatari kinoma.

Joe Biden kwenye kampeini alisema " any one who is responsible to these many death , should not remain as a president of United States" akaongeze kwa kusema " I will shut down the virus not the country". Na kweli wamarekani wakampa kura za kutosha.

Chini ya Trump, Covid-19 ilikuwa janga jipya halikumuaga mtu, ila jamaa alipambana, rapid test, ventilators, masks vyote vilitengenezwa chapu,Chanjo zote za Covid-19 kwa Marekani zimetengenezwa under Trump, Mpaka Trump anaachia ofisi wamarekani waliokufa kwa Covid-19 Ni 400,000.

Biden kakuta Chanjo, kakuta kila kitu full ventilators, PEP, masks etc lakini ndani ya mwaka vifo vya Covid-19 ni 402,154, more under Trump.

Sahivi Marekani wanakachukia aka kababu hatari, kamefeli kila mahari, kwenye pandemic, kwenye withdraw Afghanistan, kwenye inflation.

2024 Trump atashinda Tena uraisi
Umeongea ukweli kabisa. Nadhani waliomchukia Trump waliongozwa na emotions sio reality.
 
Katika vitu vilivyompa wakati Mgumu Trump, ni jinsi alivyoshughuliia Covid-19, Democrats walimshukia hatari kinoma.

Joe Biden kwenye kampeni alisema " any one who is responsible to these many death , should not remain as a president of United States" akaongeze kwa kusema " I will shut down the virus not the country". Na kweli wamarekani wakampa kura za kutosha.

Chini ya Trump, Covid-19 ilikuwa janga jipya halikumuaga mtu, ila jamaa alipambana, rapid test, ventilators, masks vyote vilitengenezwa chapu,Chanjo zote za Covid-19 kwa Marekani zimetengenezwa under Trump, Mpaka Trump anaachia ofisi wamarekani waliokufa kwa Covid-19 Ni 400,000.

Biden kakuta Chanjo, kakuta kila kitu full ventilators, PEP, masks etc lakini ndani ya mwaka vifo vya Covid-19 ni 402,154, more under Trump.

Sahivi Marekani wanakachukia aka kababu hatari, kamefeli kila mahari, kwenye pandemic, kwenye withdraw Afghanistan, kwenye inflation.

2024 Trump atashinda Tena uraisi
Now vifo America vimefika 1 million
 
Back
Top Bottom