Bidhaa 10 ambazo huruhusiwi kuziingiza Tanzania

Adidas
Nike feki zimejaa na zinapitia bandarini ambàko TBS siku hizi hawahangaiki nazo. Wao kwa Sasa wamejikita kukagua magari feki tu.
 
Sex toys ziruhusiwe tuu hakuna sababu ya kuzuia, matumizi ya chupa za fanta, matango na ndizi ni hatari
 
4. VITU BANDIA
Bidhaa feki
na zile za magendo hutakiwi kuziagiza kuja Tanzania. Zitazuiliwa kwenye ukaguzi au zitateketezwa kwa mujibu wa sheria na taratibu bila fidia yoyote.
Kuna bidha fake chungu mzima zinaingia kila kukicha ni bidhaa fake zipi labda utaje mojamoja
5. MATAIRI CHAKAVU
Kuagiza na kuingiza matairi ya magari binafsi au ya abiria ambayo yameshatumika ni marufuku kwa mujibu wa sheria na taratibu za nchi.
Kuna used tyres nyingi tu huko mitaani zinakuja kwenye containers
 
Hivi marufuku hiyo IPO mpaka Znz au bars tuu maana bidhaa ya tairi pale zenji n used tuu
 
Halafu zote hizo ndio zimefurika mitaani na nyingine zinauzwa waziwazi kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…