Vivo energy ni kinywaji? Mbona sijaona ile maziwa yao nilikuwa natumia before Azam took over me. Brookside.Equity bank
Nation newspaper.
Standard newspaper.
Ntv
K24 TV .
Vivo energy
MkuuWanasiasa wanaweza kukuambia umnyime unyumba mmeo au mkeo huwa akili zao hazija Balance sawa sawa.
Yah sawa nimekumbuka kweli, ukiwa na ndugu mwanasiasa usimwamini sana hata ukisikia kafa usiamini sanaa.Mkuu
Mbona hili llishawai kufanyika hapa bongo..mama Sophia simba aliwashauri wanawake wasio ipigia kura ccm wanyimwe unyumba!!sasa Ni hatari sana.
Sio kwamba ni mstaarabu bali anafuata katiba inavyosema. Na misingi ya utawala bora na kutokuingilia mihimili ya dola.Uhuru mstarabu sana ingekua bongo raila angekua anayea korokoron
Brookside inamiliki 55% solo la maziwa Kenya. Hapa naona KCC ndio itafaidi.Vivo energy ni kinywaji? Mbona sijaona ile maziwa yao nilikuwa natumia before Azam took over me. Brookside.
Na vivo energy ni ya nani? Energy za Mo na Azam zitapata soko kubwa huko walikosusa, wakizipeleka.Brookside inamiliki 55% solo la maziwa Kenya. Hapa naona KCC ndio itafaidi.