Bidhaa ipi inanitajika sana kwenye jamii?

Bidhaa ipi inanitajika sana kwenye jamii?

agrib4life

Member
Joined
Jul 31, 2022
Posts
72
Reaction score
88
Naombeni wazo la bidhaa ipi inauhitaji mkubwa katika jamii ambayo matumizi yake hayakwepeki Kama CHUMVI

Je ni bidhaa gani yenye high demand mtaani au madukani au magengeni ambayo haihitaji mtaji mkubwa kuifanya (kusambaza) kwa wateja.

At least faida ikiwa hata miatatu(300) Hadi 500 kwa kila piece sio mbaya kwasababu kwa siku hata nikiuza piece 50 sio mbaya maana kuingiza faida ya 15000 sio mbaya kulingana na juhudi zako za kutafuta wateja.

Waungwana je, ni bidhaa gani hiyo kila siku naumiza kichwa sipati jibu nimefikiria sana kwakweli naombeni mawazo yenu katika hili naamini wengi litatusaidia.

Asanteni sana [emoji120][emoji120] karibuni kwa maoni na mawazo yenu.
 
Kama upo dar ,tafuta maziwa mikoa ya jirani,hautojutia,Kama vile chalinze na vigwaza
Jinnsi ya kusafirisha na kuhifadhi yasiharibike hapo sijajua natumia mbinu gani kubebea ili kutunza ubora wa maziwa
 
Jinnsi ya kusafirisha na kuhifadhi yasiharibike hapo sijajua natumia mbinu gani kubebea ili kutunza ubora wa maziwa
Mwanzo kwakua mtaji bado mchanga utatumia madumu ,Ila kwa kua ni madumu inabidi kuwahisha mzigo Sana,kabla jua halijatoka na pia unakua na njia mbadala ya kujua kuandaa mtindi, kwani jua likichomoza hayatabadilika kivile ,unayageuza yanakua mtindi unapata faida zaidi, maana mtindi Ni ghali kushinda maziwa fresh
 
Mwanzo kwakua mtaji bado mchanga utatumia madumu ,Ila kwa kua Ni madumu inabidi kuwahisha mzigo Sana,kabla jua halijatoka,na pia unakua na njia mbadala ya kujua kuandaa mtindi,kwani jua likichomoza hayatabadilika kivile ,unayageuza yanakua mtindi unapata faida zaidi ,maana mtindi Ni ghali kushinda maziwa fresh
Asante Sana [emoji120] kiongozi
 
Laiti hizi nyuzi nonazosuka zingipata ushirikiano wa kutosha hatimaye sote tungeuaga umasikini
Ila roho za korosho zinawasumbua watu wengi.
 
Back
Top Bottom