Bidhaa kutoka Zanzibar zinatozwa ushuru wa ziada mara zinapofika Tanganyika

Bidhaa kutoka Zanzibar zinatozwa ushuru wa ziada mara zinapofika Tanganyika

Mparee2

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2012
Posts
3,092
Reaction score
5,386
Kwa muda sasa kumekuwa na huu utaratibu ambapo mtu akinunua bidhaa Zanzibar akifika Tanganyika anatozwa tena ushuru (nyongeza) tofauti na ule ushuru wa awali aliolipa wakati wa kununua

Kwa mtazamo wangu; Utaratibu uliopo kwa sasa, haunufaishi upande wowote;
  1. Zanzibar ndio wana adhirika zaidi na huu utaratibu kwani Watanganyika hawaendi kwao kununua bidhaa ambapo soko hilo huru lingewasaidia sana kukuza Uchumi wa hivyo visiwa
  2. Kwa Tanganyika hii imeendelea kuwa Kero kwani wafanya biashara wachache ambao ndio wananunua bidhaa huko; huishia kukutana na mkanganyiko wa kodi usio eleweka.
  3. Inawafanya Watanganyika wasione umuhimu wa Muungano
 
Back
Top Bottom