Bidhaa ndogondogo ambazo unaweza kuuza kama machinga ukasafiri nazo popote kwenye bag

Bidhaa ndogondogo ambazo unaweza kuuza kama machinga ukasafiri nazo popote kwenye bag

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
1. Smartphones na mobile ndogondogo nzuri zenye mvuto mfano nokia Og au vile vidogo kbs.pia kuna protector na cover za simu

2. Flashes na memory card..sio nzito hivyo zinabebeka kiurahisi hauhitaji kufungua duka hizi unatembea nazo kwenye minada au unategemea msimu wa mavuno vijijini huko.tena ili kuwapatia jaza movies kwenye laptop akinunua flash unamtia movie na miziki.

Kama kuna bidhaa nyingine ambayo ina faida na iko hot kwa dunia ya sasa ongezea kwenye list tuijue.ila usitaje kete za bangi hio biashara huwezi kuwa huru kutembea nazo ukiwaonyesha watu.
 

Attachments

  • download.jpg
    download.jpg
    7 KB · Views: 5
3. Jewelries mfano heleni, saa, pete nk.

4. Accessories mfano chaja makava nk

5. Mavazi kama boxer, mkanda, sox, nk
Asante mkuu max..nimechoka kusubiri kuonewa huruma ya kuwekwa kwenye madokezo kila kukicha kumlalamikia Head of depart ....na miaka hii miwili ijayo kisiasa discharge haina ishu watu wana mipango ya kuomba kula so stori za flow hawataki kuzisikia...hapa ni kujiongeza tu...kila nikifikiria makodi ya fremu kichwa kinakataa kinasema tembea one to one fuata maokoto yalipo
 
Asante mkuu max..nimechoka kusubiri kuonewa huruma ya kuwekwa kwenye madokezo kila kukicha kumlalamikia Head of depart ....na miaka hii miwili ijayo kisiasa discharge haina ishu watu wana mipango ya kuomba kula so stori za flow hawataki kuzisikia...hapa ni kujiongeza tu...kila nikifikiria makodi ya fremu kichwa kinakataa kinasema tembea one to one fuata maokoto yalipo
Wanaweka zile automated gauges siku hizi. Sijui wanataka tukale wapi.

Anzisha kijiwe man, mjini kuna flash GB32 za elfu 8. Ukienda kuwapa wa elfu 12 unatoboa.

Zipo za GB16 bei ndogo zaidi.
 
Wanaweka zile automated gauges siku hizi. Sijui wanataka tukale wapi.

Anzisha kijiwe man, mjini kuna flash GB32 za elfu 8. Ukienda kuwapa wa elfu 12 unatoboa.

Zipo za GB16 bei ndogo zaidi.
Sure .flash hapo umelenga..nataka zile bidhaa ambazo profit unaweza make kuanzia 5000 kwenda juu...tena nataka niwafuate shamba kama hana hela anipe jogoo na mtetea wake nimuachie flash..mkuu bora wewe hata ukiamua kuwafanyia diagnosis magari yao ya umeme kwa kutumia PC unapiga na hv uko town..
 
Sure .flash hapo umelenga..nataka zile bidhaa ambazo profit unaweza make kuanzia 5000 kwenda juu...tena nataka niwafuate shamba kama hana hela anipe jogoo na mtetea wake nimuachie flash..mkuu bora wewe hata ukiamua kuwafanyia diagnosis magari yao ya umeme kwa kutumia PC unapiga na hv uko town..
Watu wa Dar bahili hao hafu kila mtu anajiona mjanja.
 
Back
Top Bottom