Asiliatz
Member
- Aug 16, 2018
- 96
- 131
Habari wakuu!
Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza, ipo mijadala na humu Kuna baadhi ya uzi zimegusia juu ya ubora na bei ya bidhaa zinazotengenezwa Tanzania Kama chanzo Cha watanzania wengi kukimbilia bidhaa za nje.
Tanzania kumeibuka bidhaa nyingi zinazotengenezwa na watanzania ama viwanda vilivyopo Tanzania katika siku za hivi karibuni kutokana na Sera ya "Uchumi wa viwanda".
Miongoni mwabidhaa zinazozalishwa kwa wingi Tanzania ni nafaka, juisi,soda, maziwa, Samani(fanicha),vifunashio,sabuni,mafuta ya kula,vipodozi,majiko ya mkaa,vyombo vya chakula,viatu,nguo,mashine(kusaga juisi,kufyatua tofali,nk),viungo vya chakula,mapambo,vilevi,vifaa vya umeme, n.k Kuna karibia 90% ya bidhaa muhimu zinazalishwa Tanzania 10% iliyobaki Ni kwenye vifaa vya elekroniki na bidhaa zingine za teknolijia kubwa ambazo bado hatujaingia huko au tunagusa gusa tu.
Hakika baada ya kusoma Aya hapo juu umegundua kunabidhaa zingine nimetaja lakini hujui au hujawahi kuiona made in Tanzania lakini amini zipo na watu wanapambana kuzileta mbele ya macho yako.
Baada ya utangulizi huo, Sasa niseme neno Si kweli bidhaa nyingi za kitanzania hazina ubora asiliatz .com tumelenga kuuza bidhaa za kitanzania kwenye tovuti yetu tumekua tukitafuta na kutembelea watengenezaji wa bidhaa hizi za kitanzania kiukweli sisi wenyewe tunazipenda na tunakuwa nashauku kuziweka kwenye tovuti yetu, pia tulichogundua kunaubunifu mkubwa Sana watanzania wanao kitu ambacho kinapelekea kutoa bidhaa nzuri na zenye viwango, baadhi unaweza kuziona kwenye tovuti yetu.
Tatizo tulilogundua sisi Kama asiliatz baada yakuzungukia baadhi yawatengenezaji wa bidhaa hasa mkoa wa mwanza ni namna yakujibrand(kuzipa muonekano biashara zao) na uwoga kufanya kazi na watu Kama sisi, hivyo hata Kama akijitahidi atumie social network mwenyewe anakwama muda sababu hanakundi kubwa la kumuwezesha ashughulikie Oda,malipo,matangazo na pia aendelee na uzalishaji. Pendekezo madalali wa bidhaa za kielekroniki nazamfanano huo kutoka nje wageukie fursa kwenye bidhaa za ndani(TZ), pia wazalishaji wabidhaa waangalie fursa kwenye tovuti Kama hii yetu asiliatz .com ndio zitakua mkombozi badala ya kutegemea tu kuuza kupitia social networks.
Kuhusu bei na weza sema nikweli baadhi ya bidhaa za Kitanzania zinakuwa na bei Sana hii nikwasababu ya ubora wa bidhaa zenyewe, sizani Kama kunatatizo hapa watu wanachochanganya nimuonekano, bidhaa za Tanzania hazina muonekano mzuri Sana, na hii nikutokana pia wazalishaji hawapati au hawatafuti huduma Bora za IT mfano kutengenezewa logo. Hivyo ningeshauri kampuni na watu wa IT kuchangamkia fursa kusaidia wazalishaji wa bidhaa za Tanzania sio kukimbilia tu kina Vodacom and the like.
HITIMISHO
Soko au masoko yakuuza bidhaa za Kitanzania mtandaoni ndio suluisho namba moja ya kukuza Uchumi wa viwanda Tanzania. Kwa dunia ya Leo bila kuchangamkia sekta hii ya E-commerce itakuwa vigumu Sana kutimiza lengo.
Alibaba .com imesaidia Sana China kukua kiuchumi wa viwanda wakati imeanzishwa kulikua Amna kitu unaweza kusearch mtandaoni kuhusu China ukakipata lakina Leo tuna import Sana bidhaa kutokana China kupitia Alibaba naweza sema 95% watanzania tunaagiza bidhaa nje kupitia e-commerce je sisi huko nje watu wataagiza bidhaa zetu kupitia Nini? au tuendelee kutumia site zao ambazo tayari zinasoko lao.?
Ni hayo tu kwa Leo.
Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza, ipo mijadala na humu Kuna baadhi ya uzi zimegusia juu ya ubora na bei ya bidhaa zinazotengenezwa Tanzania Kama chanzo Cha watanzania wengi kukimbilia bidhaa za nje.
Tanzania kumeibuka bidhaa nyingi zinazotengenezwa na watanzania ama viwanda vilivyopo Tanzania katika siku za hivi karibuni kutokana na Sera ya "Uchumi wa viwanda".
Miongoni mwabidhaa zinazozalishwa kwa wingi Tanzania ni nafaka, juisi,soda, maziwa, Samani(fanicha),vifunashio,sabuni,mafuta ya kula,vipodozi,majiko ya mkaa,vyombo vya chakula,viatu,nguo,mashine(kusaga juisi,kufyatua tofali,nk),viungo vya chakula,mapambo,vilevi,vifaa vya umeme, n.k Kuna karibia 90% ya bidhaa muhimu zinazalishwa Tanzania 10% iliyobaki Ni kwenye vifaa vya elekroniki na bidhaa zingine za teknolijia kubwa ambazo bado hatujaingia huko au tunagusa gusa tu.
Hakika baada ya kusoma Aya hapo juu umegundua kunabidhaa zingine nimetaja lakini hujui au hujawahi kuiona made in Tanzania lakini amini zipo na watu wanapambana kuzileta mbele ya macho yako.
Baada ya utangulizi huo, Sasa niseme neno Si kweli bidhaa nyingi za kitanzania hazina ubora asiliatz .com tumelenga kuuza bidhaa za kitanzania kwenye tovuti yetu tumekua tukitafuta na kutembelea watengenezaji wa bidhaa hizi za kitanzania kiukweli sisi wenyewe tunazipenda na tunakuwa nashauku kuziweka kwenye tovuti yetu, pia tulichogundua kunaubunifu mkubwa Sana watanzania wanao kitu ambacho kinapelekea kutoa bidhaa nzuri na zenye viwango, baadhi unaweza kuziona kwenye tovuti yetu.
Tatizo tulilogundua sisi Kama asiliatz baada yakuzungukia baadhi yawatengenezaji wa bidhaa hasa mkoa wa mwanza ni namna yakujibrand(kuzipa muonekano biashara zao) na uwoga kufanya kazi na watu Kama sisi, hivyo hata Kama akijitahidi atumie social network mwenyewe anakwama muda sababu hanakundi kubwa la kumuwezesha ashughulikie Oda,malipo,matangazo na pia aendelee na uzalishaji. Pendekezo madalali wa bidhaa za kielekroniki nazamfanano huo kutoka nje wageukie fursa kwenye bidhaa za ndani(TZ), pia wazalishaji wabidhaa waangalie fursa kwenye tovuti Kama hii yetu asiliatz .com ndio zitakua mkombozi badala ya kutegemea tu kuuza kupitia social networks.
Kuhusu bei na weza sema nikweli baadhi ya bidhaa za Kitanzania zinakuwa na bei Sana hii nikwasababu ya ubora wa bidhaa zenyewe, sizani Kama kunatatizo hapa watu wanachochanganya nimuonekano, bidhaa za Tanzania hazina muonekano mzuri Sana, na hii nikutokana pia wazalishaji hawapati au hawatafuti huduma Bora za IT mfano kutengenezewa logo. Hivyo ningeshauri kampuni na watu wa IT kuchangamkia fursa kusaidia wazalishaji wa bidhaa za Tanzania sio kukimbilia tu kina Vodacom and the like.
HITIMISHO
Soko au masoko yakuuza bidhaa za Kitanzania mtandaoni ndio suluisho namba moja ya kukuza Uchumi wa viwanda Tanzania. Kwa dunia ya Leo bila kuchangamkia sekta hii ya E-commerce itakuwa vigumu Sana kutimiza lengo.
Alibaba .com imesaidia Sana China kukua kiuchumi wa viwanda wakati imeanzishwa kulikua Amna kitu unaweza kusearch mtandaoni kuhusu China ukakipata lakina Leo tuna import Sana bidhaa kutokana China kupitia Alibaba naweza sema 95% watanzania tunaagiza bidhaa nje kupitia e-commerce je sisi huko nje watu wataagiza bidhaa zetu kupitia Nini? au tuendelee kutumia site zao ambazo tayari zinasoko lao.?
Ni hayo tu kwa Leo.