INAUZWA Bidhaa za asili wenye kuhitaji karibuni

MAPOUDA

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2013
Posts
446
Reaction score
296
Wenye kuhtaji bidhaa mbali mbali za kitamaduni na asili kama bakuri,sahani,vikombe vilitengenezwa kwa mazao asili ya miti ya kitanzania karibuni sana hapo chini ni mfano wa bakuri wenye kuzihtaji NPM

NOTE:BIDHAA ZOTE NI ASILI KABISA NA ZINA FAA KWA MATUMIZI YOTE
 
Ahsante kwa Huduma Comrade.

Vyombo vya asili kama hivyo vitasaidia kupunguza kipenyo cha Maambukizi ya magonjwa yaso ya kuambukiza (Non-communicable diseases, NCD's) kama vile Kansa na kadhalika.

Tunabeba, kula vyakula katika mifuko ya plastiki, nailoni, sahani/vikombe vya mifupa na orodha inaendelea...Utamaduni ambao mizizi yake siyo ya Nyumbani. Ni hatari sana kwa usalama na siha bora kwa Utamaduni wetu.

Turejee Afrika. Tupende, Tuuishi vyenye nembo za Kikwetu.

Utamaduni Ni Uhuru.
 
Shukran mkuu tuko pamoja katika kupambana na utamduni wetu wa afrika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…