mqaxy
JF-Expert Member
- Jul 10, 2018
- 342
- 559
Wakuu habari za sasa.....
Naomba kuuliza kwa aliyewahi kuagiza bidhaa kikuu....hivi huwa inachukua muda gani Hadi kukufikia bidhaa uliyoagiza.
Pia kwa aliyewahi kuagiza screen magnifier vipi Ni kwa kuangalizia video tu au na kufungulia mafaili ya pdf, documents n.k,naomba nijuzwe.
Natanguliza shukrani.Ndo kwa mara ya kwanza nataka kuagiza huo mzigo,
#Mqaxy...
Naomba kuuliza kwa aliyewahi kuagiza bidhaa kikuu....hivi huwa inachukua muda gani Hadi kukufikia bidhaa uliyoagiza.
Pia kwa aliyewahi kuagiza screen magnifier vipi Ni kwa kuangalizia video tu au na kufungulia mafaili ya pdf, documents n.k,naomba nijuzwe.
Natanguliza shukrani.Ndo kwa mara ya kwanza nataka kuagiza huo mzigo,
#Mqaxy...