Screen magnifier zimejaa kibao kkoo, tena bei rahisi rahisi.Wakuu habari za sasa.....
Naomba kuuliza kwa aliyewahi kuagiza bidhaa kikuu....hivi huwa inachukua muda gani Hadi kukufikia bidhaa uliyoagiza.
Pia kwa aliyewahi kuagiza screen magnifier vipi Ni kwa kuangalizia video tu au na kufungulia mafaili ya pdf, documents n.k,naomba nijuzwe.
Natanguliza shukrani.Ndo kwa mara ya kwanza nataka kuagiza huo mzigo,
#Mqaxy...
Mbona TZ yapo hayo madude mkuu? Na kuna jamaa alikua anayauza hizo magnifiers huku huku JF kati ya mwaka juzi au jana nafikiri... Vitu vingine sio lazima uagize China kama ni cha gharama ndogo afu kimoja, at least uwe mzigo mkubwa kuokoa costs!Wakuu habari za sasa.....
Naomba kuuliza kwa aliyewahi kuagiza bidhaa kikuu....hivi huwa inachukua muda gani Hadi kukufikia bidhaa uliyoagiza.
Pia kwa aliyewahi kuagiza screen magnifier vipi Ni kwa kuangalizia video tu au na kufungulia mafaili ya pdf, documents n.k,naomba nijuzwe.
Natanguliza shukrani.Ndo kwa mara ya kwanza nataka kuagiza huo mzigo,
#Mqaxy...
Nimekupata mkuuMbona TZ yapo hayo madude mkuu? Na kuna jamaa alikua anayauza hizo magnifiers huku huku JF kati ya mwaka juzi au jana nafikiri... Vitu vingine sio lazima uagize China kama ni cha gharama ndogo afu kimoja, at least uwe mzigo mkubwa kuokoa costs!
Sawa bossMbona TZ yapo hayo madude mkuu? Na kuna jamaa alikua anayauza hizo magnifiers huku huku JF kati ya mwaka juzi au jana nafikiri... Vitu vingine sio lazima uagize China kama ni cha gharama ndogo afu kimoja, at least uwe mzigo mkubwa kuokoa costs!