Habari zenu wakuu,
Ninatamani kuanza kutumia bidhaa ya Oriflame inayoitwa Novage advance breakout defence emulsion. Nimeambiwa kwa sasa hazipatikani kwa kuwa Oriflame hawa-operate nchini na hizo bidhaa labda ziagizwe nje.
Je, nini kilifanya Oriflame waondoke Tanzania? Kama kuna mwenye msaada wa kuweza kupata hiyo bidhaa naomba msaada tafadhali.
Ninatamani kuanza kutumia bidhaa ya Oriflame inayoitwa Novage advance breakout defence emulsion. Nimeambiwa kwa sasa hazipatikani kwa kuwa Oriflame hawa-operate nchini na hizo bidhaa labda ziagizwe nje.
Je, nini kilifanya Oriflame waondoke Tanzania? Kama kuna mwenye msaada wa kuweza kupata hiyo bidhaa naomba msaada tafadhali.