Yeah bei nzuri sanaKila la heri..bei nzuri
Huna hata panadol ukameza? Tujifunze kutiana moyoMI Sina hela
Nataka kitenge bestšKila la heri..bei nzuri
Panadol inaleta hela? MkuuHuna hata panadol ukameza? Tujifunze kutiana moyo
š¤¦chagua lov!Nataka kitenge bestš
Unawahi sehemu Nini rafiki au usingizi umekata tu Kama mimiš¤¦chagua lov!
Mimi sijui utu uzima.?? Kila sk muda kama huu usingizi unayeyuka..napanga nakupangua mambo balaa...yaan naamka kbs naanza kuandika things to do..wap nirekebishe..argggg utu uzima sio kbs jamani!..Unawahi sehemu Nini rafiki au usingizi umekata tu Kama mimi
The same to me kwa kweli, mida hii nakuwa macho hadi kumi au kumi na moja ndo usingizi unakujaMimi sijui utu uzima.?? Kila sk muda kama huu usingizi unayeyuka..napanga nakupangua mambo balaa...yaan naamka kbs naanza kuandika things to do..wap nirekebishe..argggg utu uzima sio kbs jamani!..
The same to me kwa kweli, mida hii nakuwa macho hadi kumi au kumi na moja ndo usingizi unakuja
Hii Hali imenisababishia hadi afya yangu kuwa mbayaHata mimi..saa 12 nalala..doh
Hii Hali imenisababishia hadi afya yangu kuwa mbaya
Duh sawa rafikiNadhan ni msongo wa mawazo..kesho nataka kuanza fanya mazoez mepesi mepesi maana kukaa bila kijishughulisha nayo kipaji..anza mazoez ya kufanya mwili uwe active ..usijifukize lakiniš¤¦