Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Elimu kwa watu inahitajika kabla ya kufanya msakoJe kuuza kipande kimoja Cha sabuni nitoe risiti na mnunuI adai risiti?
Usipokubali kuliwa kidogo huliWenzetu nje wameshazoea hii ishu ya kutoa risiti
Yaani hata uuze Cha shilingi moja unatoa.
Sasa Kama hutaki kutoa ni kwa Nini unaamua kukiuza Sasa.
Ama uwe Kama kiwanda kuwa wanauza kuanzia semi moja ya sementi na sio chini ya hapo ili tujue mkuu.
So ishu Kodi yetu jamaa wanaenda kumlipia posh queen ndege kuzunguka porini kuwa ni kutangaza utalii baaadaye anakuja kulala gold crest kwa Kodi zetu ndo Mana zinatuuma tunakwepa.
Ama Brazil wanakuja kucheza Taifa stars tunalipa 3bn ili kujitangaza tz na huku Kuna watu huko kwetu Tanzania hawajui kituo Cha afya,watt wetu wasomea kwa class za mud so it pain than what you're thinking
Wanatia huruma maana uuze kiberiti utoe list ila anaeuza karatasi za list hatoi listWatanzania ni mazwazwa, hawahitaji elimu, ni kuswaga TU na matamko. Mchi nyingine ungekutana na maandamano na mabango ya kufa mtu.