rakeyescarl
JF-Expert Member
- Dec 9, 2007
- 481
- 147
Wakuu habari za biashara,
Naomba kujua kama nina dola elfu kumi ni bidhaa zipi naweza kupeleka Tanzania kutokea China kwa njia yoyote ni sawa hata kwa ndege.
Kiwango cha faida nahitaji kama net=9%,ikiwezekana.
Kwangu ni rahisi kwa sababu nina mtu ambaye yuko pale.
Natanguliza shukurani.
Naomba kujua kama nina dola elfu kumi ni bidhaa zipi naweza kupeleka Tanzania kutokea China kwa njia yoyote ni sawa hata kwa ndege.
Kiwango cha faida nahitaji kama net=9%,ikiwezekana.
Kwangu ni rahisi kwa sababu nina mtu ambaye yuko pale.
Natanguliza shukurani.