rakeyescarl
JF-Expert Member
- Dec 9, 2007
- 481
- 147
Upakie mzigo kwa ndege kutoka china utabeba nini kil moja kwa ndege ni 40000 sasa utakuwa unafanya biashara au
Kazi kweli kwa bei hiyo...sasa wale wanaoenda kuchukua nguo kadhaa tu beg 3(ni mfano tu) huwa wanafanyaje maana kuupeleka kwa meli bado ni mdogo sana
Upakie mzigo kwa ndege kutoka china utabeba nini kil moja kwa ndege ni 40000 sasa utakuwa unafanya biashara au
Kazi kweli kwa bei hiyo...sasa wale wanaoenda kuchukua nguo kadhaa tu beg 3(ni mfano tu) huwa wanafanyaje maana kuupeleka kwa meli bado ni mdogo sana
Hata uwe na box moja door to door home shoping center wanakusafirishia tu
kazi kweli kwa bei hiyo...sasa wale wanaoenda kuchukua nguo kadhaa tu beg 3(ni mfano tu) huwa wanafanyaje maana kuupeleka kwa meli bado ni mdogo sana
nashukuru kwa taarifa hii...nafikiri unawafaham vema hawa watu,hivi wapo na thailand,philipine na dubai maana safari yangu ya kwanza kwa kufanya manunuzi nimepanga iwe thailand maana nasikia kule vitu ni bei rahisi zaid kuliko china..then kuna thread moja iliwekwa hapa wiki iliyopita kuwa hawa hsc ni kweli mzigo wanakufikishia ila hawakupi document za malipo ya ushuru na tax nyingine hivyo kukamatwa ni rahisi na wao hawahusiki japo unakuwa umewalipa gharama zote hizo,hizi taarifa ni za kweli kama umeshawahi fanya nao biashara..
Siasa na hapa ndipo ninapopenda kupitia kidogo,I hope safari yenu imeiva maana ulitaka kwenda Thailand na wewe unaweza nipa mambo mengi kweli namna ya kusafirisha vimzigo,au umeahirisha sio December hii tenaHebu wacheki na hawa dhl ujue wao wanasafirisha mizigo kwa bei gani jua charge yao kwanza kabla hujadhurumiwa bure
heee ndo mambo ya mpunga yameiva mpaka wataka safiri mkuu hongera sana? (jokes)
umeshajisajiri na alibaba?
Wakuu habari za biashara,
Naomba kujua kama nina dola elfu kumi ni bidhaa zipi naweza kupeleka Tanzania kutokea China kwa njia yoyote ni sawa hata kwa ndege.
Kiwango cha faida nahitaji kama net=9%,ikiwezekana.
Kwangu ni rahisi kwa sababu nina mtu ambaye yuko pale.
Natanguliza shukurani.
Siasa na hapa ndipo ninapopenda kupitia kidogo,I hope safari yenu imeiva maana ulitaka kwenda Thailand na wewe unaweza nipa mambo mengi kweli namna ya kusafirisha vimzigo,au umeahirisha sio December hii tena
Nashukuru kwa taarifa hii...nafikiri unawafaham vema hawa watu,hivi wapo na Thailand,Philipine na Dubai maana safari yangu ya kwanza kwa kufanya manunuzi nimepanga iwe Thailand maana nasikia kule vitu ni bei rahisi zaid kuliko China..then kuna thread moja iliwekwa hapa wiki iliyopita kuwa hawa HSC ni kweli mzigo wanakufikishia ila hawakupi document za malipo ya ushuru na tax nyingine hivyo kukamatwa ni rahisi na wao hawahusiki japo unakuwa umewalipa gharama zote hizo,hizi taarifa ni za kweli kama umeshawahi fanya nao biashara..
elisha mbasha simu simu zipi mkuu, za kichina au Brand tulizo zoea samsung na nokia?Chukua simu zitakulipa mkuu