Bien Frema; Nitaipeperusha bendera ya nchi yangu

Wandani tv

Member
Joined
Feb 22, 2019
Posts
7
Reaction score
9
Tukiangazia upande wa Burundi, msanii wa music wa buja flavour nchini burundi_bien frema amefunguka katika mike za Wandani tv baada ya kuachia kibao chake ivi karibuni kilicho mtambulisha vyema kwamashabiki na kumuongezea mashabiki,,niko naamini music hauko na mwenyewe juu alikuako soso k, alivuma, ndo akaja lolilo na big fizzo nabenyewe ivyoivyo sasa namiye Leo banijue kama bien frema iko mizisye,Leo nikomiye kesho tena atakuja mwengine ju namueshimu aliye nitangulia, na niliye mtangulia, shabiki wangu kaeni kwenye music mzuri kutoka kwangu na batanzania niko nawaomba munisapot,,,hayo kayazungumza bien frema alipo hojiwa na mwana habari wetu Wandani TV alipoingia Bujumbura siku ya leo
 
Apeperushe bendera yeye upepo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…