Bien Sauti Sol: Wasanii wa Tanzania wangewekeza kwenye Singeli kama Amapiano, kushinda Tuzo ya Grammy ingekuwa rahisi sana

Bien Sauti Sol: Wasanii wa Tanzania wangewekeza kwenye Singeli kama Amapiano, kushinda Tuzo ya Grammy ingekuwa rahisi sana

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mwimbaji hodari kutoka nchini Kenya Bien-Aime Baraza amesema, Wasanii wa Tanzania wangeweka nguvu na bidii kwenye muziki wa Singeli kama ambavyo waliweka bidii kwenye Amapiano, basi muziki wa Tanzania ungekuwa umeenda mbali sana. Bien alienda mbali zaidi na kusema, hata kushinda Tuzo ya Grammy ingekuwa jambo rahisi sana.

 
Mwimbaji hodari kutoka nchini Kenya Bien-Aime Baraza amesema, Wasanii wa Tanzania wangeweka nguvu na bidii kwenye muziki wa Singeli kama ambavyo waliweka bidii kwenye Amapiano, basi muziki wa Tanzania ungekuwa umeenda mbali sana. Bien alienda mbali zaidi na kusema, hata kushinda Tuzo ya Grammy ingekuwa jambo rahisi sana.

Watu wanapiga mziki mzuri laini wewe upeleke makopo utashinda wapi....
 
Amapiano ndiyo muziki?
muziki ni mpangilio wa ala za sauti, zilizopangiliwa ki ufundi,stadi na sanaa.

Binafsi kwangu singeli ni kelele tupu!, hakuna muziki pale na hauwezi kutoboa kimataifa maana namna ya muundo wake umekaa kiajabu ajabu!.
kulinganisha amapiano na singeli ni kama kuabisha muziki mzuri wa amapiano!.
kwenye amapiano ala zake zinapangiliwa vyema na ni muziki uliozingatia ubunifu na kazi nzuri ya sanaa!.

kaa chini sikiliza hizo singeli halafu sikiliza na amapiano kama unajua muziki vyema utatoka na jibu lililojema.
 
muziki ni mpangilio wa ala za sauti, zilizopangiliwa ki ufundi,stadi na sanaa.

Binafsi kwangu singeli ni kelele tupu!, hakuna muziki pale na hauwezi kutoboa kimataifa maana namna ya muundo wake umekaa kiajabu ajabu!.
kulinganisha amapiano na singeli ni kama kuabisha muziki mzuri wa amapiano!.
kwenye amapiano ala zake zinapangiliwa vyema na ni muziki uliozingatia ubunifu na kazi nzuri ya sanaa!.

kaa chini sikiliza hizo singeli halafu sikiliza na amapiano kama unajua muziki vyema utatoka na jibu lililojema.
Huwa nashangaa vijana wa daslam wanaplay hizo singeli kwenye simu zao, wengine huenda mbali na kusikiliza kwa earphones, ule mziki hata mimi huwa siuelewi.
Na uimbaji wake ni uleule kwakweli ni "kelele"
 
Akiimba platinum sio kelele wewe singeli ndo mziki wetu kama bongo flavour, mnanda , taarabu

Singeli ingipangiliwa biti vizuri ni bonge la music asee

Tafuta ngoma ya tembele ya manfongo sikikize zile instrument alafu uje Hapa upige kelele
Mpaka drake atakapoimba singeli ndio wataelewa
 
Back
Top Bottom