Bifu Diamond na Ali Kiba ni miradi ya watu

Kiba na Diamond wote wako level moja tu hakuna anayemzidi mwenzake
Hata siku moja! Kiba yupo hapa JF tu mitaani ameshasahaulika, mnalazimisha tu. lakini yeye mwenyewe Kiba alishakubali matokeo. Huwezi shindanisha kobe ( Kiba) na farasi (Diamond).

Sent from my SM-G800H using Tapatalk
 
Hata siku moja! Kiba yupo hapa JF tu mitaani ameshasahaulika, mnalazimisha tu. lakini yeye mwenyewe Kiba alishakubali matokeo. Huwezi shindanisha kobe ( Kiba) na farasi (Diamond).

Sent from my SM-G800H using Tapatalk
Usisahau kuwa kobe ni mnyama mwenye akili kuliko wanyama wengine wengi(google),pia huish muda mrefu zaidi hata miaka mia tisa,so huu sio mfano mzuri sana,sababu farasi hata akikimbia kwa haraka kias gani umri wake mfupi sana tofauti na kobe amabae ana mwendo wa pole pole na anadumu zaid kama Kiba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…