Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,256
- 16,317
hahahahaha u made my dayUngesema bifu kali kati ya Babu na Mjukuu ingeleta maana zaidi
babu hamnazoBabu anaporomosheana matusi na mjukuu wake,
babu kazidiwa nguvu ya kutukana ameamua kwenda polisi.
GranddaughterDaughter or granddaughter?, sijakupata vizuri.
Usimshutumu pengine Ana ushaidi.
Tusubiri asipotajwa kwenye list ya Naibu Waziri ndio tutaamini kama shoga au lah
ana dharau yule mtoto sijawai kuona
Soma hapa uone aliyejibiwa(mtoto mdogo dharau debe,kisa keshachungulia kila aina ya vikojoleo)Kwani alitajwa mtu mzima au kwa tabia zake ndio kajishtukia?aibu naona mimi aiseeeeee duh.
Hivi mutuz hana mtoto? Hii ligi angempa mtoto wake aiendeshe na sio yeye kubwabwaja mtandaoni... poor him hata kama kakosewa
Nae yupo kazini kupata followers na kupiga pesa.
Soma hapa uone aliyejibiwa(mtoto mdogo dharau debe,kisa keshachungulia kila aina ya vikojoleo)