Mwanao akinyea kiganja huwezi kikata ...hata wewe mkuu kidogo chako au mwanao akikukosea una muignore tu
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]hujaelewa nini/? le mutuz wanamsingiziaga kwamba ni 60 years old, sio kweli, he is still young and vibrant tena always yupo kwenye full swing, inasemekana he is 25
Nimekuquote halafu nikakuita shoga bila kutaja jina ungepotezea au ungepanic kama jibu ulilotoa hapa?
Unamtandika vya kutosha awe na adabu asirudie kosa.
Ohoooo!!!Babu altaka kupiga selfie akiwa kalalia mitindiz ya mjukuu,
mjukuu akasema hawezi kupiga picha na babu anayenuka miguu,
babu kapanic anataka kwenda polisi eti katukanwa na mjukuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aiseee..huyu jamaa ndo alitaka kupewa ubunge wa EAC kupitia thiethiem...alooo wakati mwingine kumbe wabunge wa thiethiem mnajitoaga akili tu makusudi ila kwa hili la kumpiga chini huyu 'kinda mzee' hapo mliamka
Ohoooo!!!Tatizo wote ni watoto wa kike....I hope wanataka audience tu!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nahisi jamaa aliruka stage
Mbona sijaona alipokosea huyo mtoto?
Mama ake alisema wakati ule mwanae ni under 18 unataka kubishana nae?!hilo swali aulizwe mama lulu(yeye ndio anajua umri halisi wa lulu sio huu wa mitandaoni),na yeye kwann akubali kuchungulia watu wazima wakat ni under 18?
Nashukuru mkuu... Kwanza huyo binti toka alivyosababisha kifo cha Kanumba na kupelekea tasnia ya filamu kudumaa sina hamu nae.[emoji116] [emoji116]
kuna bifu kali linaendelea la hatari kati ya ma celebrities wawili walioko under 25 years of age,yaani mvulana mmoja aitwaye le akili kubwaz na age mate wake msichana aitwaye lulu.
Updates mubashara zitaendelea kuwekwa papa hapa.
View attachment 471123