Bifu kali la Lemutuz na Lulu

Status
Not open for further replies.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yule anitaji maombi ya kufunga cku arobaini bila kula aisee nilicheka sana!!
 
Le mutuz asingekuwa na akili ya mjusi gondo angekuwa mkuu wa mkoa muda huu
 
Lulu ndio mchokozi,angemtetea gwajima bila kumuita le mutuz shoga.

Kuna wengi wanamchukia le mutuz humu ila muwe fair,huyo binti kazidi dharau

Ni kweli hasa vijana na wazee wenye kufuatilia maisha ya watu. Afu hata picha anapiga na wadada wa umri. Sio nyie mnabaka mpka wajomba zenu wa miaka 2 ..Na wala hawana sababu. Wivu. Wanahisi kuwa wadada wazuri wote anaopiga picha nao anakuwa nao. Kumbe mnsaahau kabisa kazi zake za social media unatakiwa usome soko lako. We tazama kama soko ntu anavuta bangi kitu ambacho mtoto wako wala hutapenda atumie lakini kisa mtu maarufu basi inafanywa kitu chavkawaida. Social media haina umri. Tena kama nyie manaojihita vijana mmejaa frustrations tu na mnapenda kila siku kutuambzkiza na wenzenu. Soma mazingira yako na tumia kwa faida ykao bila kunpanda mtu kichwani. So lemutuz anajua wabongo mnavyofikiri na hiyo ndo akili. Sasa vijana mawivu tu. Kupiga kelele. Tena heri yeye wala hajifichi kama sisi ambao tunasura kama boko lakini kelele na ushamba kuzani social media ni ya vijana tu labda mada zisizo na mantiki ndo mana mnaona za vijana mara sijui fupi sijui ndefu. Nini haya sasa kama si ujinga. So vijana achebni wivu huyo jamaa social media ndo shughuli zake so anaitumia na inamletea maodha kuliko we unatuibia barabarani na kutukana bila malipo.
 
Hili jitu (Lahaja ya kingazija) halioni aibu kuchambana Na katoto tena ka kike ambako amekazidi zaidi yq miaka 35?....watu wengine wapo kihasara katika jamii. Haiwezekani kwa mfano MH. Waziri Philipo Mpango eti anachambana Na ka Vanesa Mdee!....very shameful ze akili kubwa mbululaz!
 
Mmh hili gazeti sio mchezo mchezo ila jamani ungewekapo na kaushilawadu ingependeza sana sio unatirirka makala tuu(mateso haya)

Niombe radhi mtoto wa miaka miwili ntamfaidije jamani,si bora nitumie kidole kuliko kale kananilii ka mtoto haa(nikizidiwa bodaboda,wasukuma mikokoteni n.k wapo sio kubakana na katoto aah umenikera ujuee)
 
Ha ha ha...Nimependa style yako. Hujafungamana na upande wowote.
i was just curious you know, mtu mzima unagombana na katoto, halafu ukifuatilia wanachogombania ni "dharau ambazo mkubwa amezionyesha kwa askofu wa lulu"....mkubwa hana kazi za kufanya? le....yuko over 50, lulu sina uhakika kama hata 25 amefika.unajua ukiwa unamzidi mtu miaka 30 hivi, maana yake ni kwamba ulikuwa na uwezo wa kuzaa ulikiwa 14 au 15 pamja na kwamba mwanaume akishabalehe tu kuanzia 13 anaweza kuzalisha....ukitoa 30 minus 13 unapata miaka kama 17 hivi, that means ukiwa na miaka 30 binti yako(mama ambaye angekuwa wa lulu angekuwa 17 au hata 15 its ok) na mpaka leo hii ukiwa 55 kama le mkubwaz, lulu ni mjukuuu wake kabisa. wakati mwingine tuwaache pengine ni utani wa babu na mjukuu si unajua tena.
 
Nabisha maana binti mwenyewe kwa mdomo wake alishakiri alikua na miaka 18. Hayo mengine ni ujanja wa lawyer kumuepusha na kifungo.

Point ya msingi hakana adabu,kanakurupuka sana.kamekumbushwa kesi yake kamenywea kweli.
Mama ake alisema wakati ule mwanae ni under 18 unataka kubishana nae?!

na sheria inasema under 18 ni mtoto ukimfanya mchezo mbaya umemrubuni no matter what.

haya turudi kwenye point ya msingi.
 
Mgeni kwanza uwe unasalimia kabla ya kutupa madongo. Hodi muhimu kisha uelekezwe jukwaa la habari za Trump
Kuwafatilia hawa tunao waitaga mastar wa bongo nishachokaga,,,nipe update mubashara za Trump
 
Kumbe ee mr much know ,kuanzia leo naenda fatilia kesi ya lema na mkuu wa mkoa(maana mazingira ni sawa na haya,hakutajwa mtu bali neno tu)

Kwa hiyo pale hamna kesi ee?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…