ALWATAN KIZIGO
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 539
- 644
pesa ya nini sasa kwan walikuwa wanadaiana?Hilo bifu liliisha tangu 2013 mbona baada ya Ruge kumpa Sugu pesa ndefu tu
Bifu ilianza baada ya Sugu kudai kuwa Ruge ameiba idea yake ya mradi wa Malariapesa ya nini sasa kwan walikuwa wanadaiana?
Ukisikia na za antivirus tujuzane please.
Bwege yule alisema Mbeya Hakuna Hotel ya kufikia yeye..afadhali aisee, na sasa ni zamu ya diamond kumaliza bifu na wana mbeya, naskia huwa hafiki kule pamoja na vibe kali wanayoonesha wanambeya kwnye shoo mbalimbali.
Punguzaga umbea wewe mtoto wa kikeHilo bifu liliisha tangu 2013 mbona baada ya Ruge kumpa Sugu pesa ndefu tu
Mbna anaenda mbeya kyela kuzindua beach ya ngonga mwezi ujao wa sabaafadhali aisee, na sasa ni zamu ya diamond kumaliza bifu na wana mbeya, naskia huwa hafiki kule pamoja na vibe kali wanayoonesha wanambeya kwnye shoo mbalimbali.
Matangazo ya yeye kwenda kupga kazi mbeya huwa yanawekwa kila mara ili kuvuta watazamaji na wahudhuriaji tu bt he never showed his presence at all.Mbna anaenda mbeya kyela kuzindua beach ya ngonga mwezi ujao wa saba
Nilimuona clouds TV kipindi cha asubuhi, Asante kwa kukumbuka na wewe nilikuja na wazo hilo hilo sema tu umenitangulia....mwenzio ameshaitwa mpaka kwenye interviews hapo cloudz,vurugu ziliisha siku nyingi.
Akyamungu duh cna cha kuongezaPunguzaga umbea wewe mtoto wa kike