mr gentleman
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,222
- 4,689
Kuna bifu kubwa sana limeibuka kati ya msanii wa Wasafi Harmonize na team Wema baada ya Harmonize kutoa freestyle yenye maneno ya kumkashifu Wema Sepetu.
Kijana Harmonize mpaka sasa anaoga matusi yote ya dunia hii kutoka kwa team Wema.
"sista duu usitoe mimba ukaja kulia kama Sepetu " - Harmonize
Kijana Harmonize mpaka sasa anaoga matusi yote ya dunia hii kutoka kwa team Wema.
"sista duu usitoe mimba ukaja kulia kama Sepetu " - Harmonize