Bifu la Harmonize na team Wema lachafua hali ya hewa

mr gentleman

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2012
Posts
3,222
Reaction score
4,689
Kuna bifu kubwa sana limeibuka kati ya msanii wa Wasafi Harmonize na team Wema baada ya Harmonize kutoa freestyle yenye maneno ya kumkashifu Wema Sepetu.

Kijana Harmonize mpaka sasa anaoga matusi yote ya dunia hii kutoka kwa team Wema.

"sista duu usitoe mimba ukaja kulia kama Sepetu " - Harmonize
 
Dah me nikawa sielewi kisa nini kumbe ndo hivi, pole yake aisee maana insta kumechafuka
 
Wala hakumtaja sepetu ni nyie timu Wema mnatafuta kiki tu...

Angalia clip vizuri ni wapi Harmonize kamtaja Wema?!
 
Wala hakumtaja sepetu ni nyie timu Wema mnatafuta kiki tu...

Angalia clip vizuri ni wapi Harmonize kamtaja Wema?!

sista duu usitoe mimba ukaja kulia kama Sepetu - Harmonize
 
Mimi sitaki kujua maana sina timu kati yao lakini kwa jinsi ninavyoona huyu dogo anatafuta kiki kupita kwa huyu mdada wema...huyu dada ana mapungufu yake kama binadamu hila jamaa jinsi inavyohisi anatafuta umaarufu by any cost
 
Mimi sitaki kujua maana sina timu kati yao lakini kwa jinsi ninavyoona huyu dogo anatafuta kiki kupita kwa huyu mdada wema...huyu dada ana mapungufu yake kama binadamu hila jamaa jinsi inavyohisi anatafuta umaarufu by any cost

Yap, dogo anazitafuta level za boss wake, wamemgeuza wema kama ngazi za kufikia mauzo makubwa ya kazi zao kupitia scandals. Wametamka kweli maneno hayo
 
#NATAFUTAKIKI

niseme natembea na kidoti kitandani na feza kesi

Sijui nini na nini demu wa nay siwema au nimalize na wema

Stay tuned for rayvan
 
Hadi sasa anaoga mitusi huko,ha ha ha ha ha haaaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…