Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,678
Kuchuniana na mtu miaka mitano kisa kakugombeza? Mmh huyu cheusi dawa nae sio bure ana mashetani
Sasa mm na ww nani anaona raha kujiandikia tu?walikuambia kama hawajui?ulianza kujiandikia tu nami nikajiandikia tu, so bora uwe mpole tuKulifufuaje? Au unaona raha kujiandikia tu? Nimeandika kwa sababu ni kitu ambacho watu wengi hawajui kama walikuwa na bifu...
Na kubwa zaidi ni kwamba, wale waliokuwa wanajua kuhusu hili bifu walikuwa hawajui kwamba lishaisha!Kulifufuaje? Au unaona raha kujiandikia tu? Nimeandika kwa sababu ni kitu ambacho watu wengi hawajui kama walikuwa na bifu...
Wajuzwa ili ujuzike kwamba yashaisha... kuna tatizo?!Sasa kama limeisha kutuletea inahu nn
Wajuzwa ili ujuzike kwamba yashaisha... kuna tatizo?!
was just a part of chitchat, don' mind Madam!Nahis mmenielewa vbaya anyway hamna tatizo
was just a part of chitchat, don' mind Madam!
beautifu... i like it!nothing at all to mind about........... pamoja sana
beautifu... i like it!
Mambo ya ma beef tupa kule... nasubiri siku atakayopatana na Ruge na Kusaga lol maanavlife is too short kuishi na chuki na visasi.