The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,805
- 14,181
Mondi alikimbia sana badae kugeuka nyuma anakuta haoni mwanariadha mwenzie kukawa hamna namna bali kumuua Alikiba kwa kumtengeneza adui wa kuzuga Harmoniser lakini mwisho wa siku nia ni kuteka soko lote Hivi kampuni za mtu mmoja zaweza gombana ? amkeni ! amkeni !
Ila hakuna mashabiki wenye roho mbaya kama wa Mondi yanii wanachoche kuhuso bifu na harmoniser na kuua focus kwa alikiba na aslay
Ila hakuna mashabiki wenye roho mbaya kama wa Mondi yanii wanachoche kuhuso bifu na harmoniser na kuua focus kwa alikiba na aslay