Hujanielewa maana yangu zote clouds na wasafi ni za mmoja (kusaga) ,na mondi hana bifu na harmoniser bali mashabiki waoyani mtu akisitisha mkataba na kampuni yake ya awali ndiyo anakuwa ana beef na mwenye kampuni husika??
Kwa sasa Maulidi kitenge ana beef na Majizo??
hao mashabiki ugoro wakafie mbele.Hujanielewa maana yangu zote clouds na wasafi ni za mmoja (kusaga) ,na mondi hana bifu na harmoniser bali mashabiki wao
"kwa kweri huyu hamonaiza amevaa suti inafanana na nywere zake"Jiwe ndio amempa hilo jina jipya la harmonizer ?