Bifu la Rayvanny na Harmonize halijaanza jana wala leo

Bifu la Rayvanny na Harmonize halijaanza jana wala leo

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066
Hii bifu ilikuwa ya chini chini ila sasa inaenda kuwa kubwa sana baada ya Hamo kwenda kumfungulia Rayvanny kesi polisi.

Hii scandal inayoendelea ni zuga tu ila watu wana bifu zao za kitambo.

Chanzo cha bifu ni mzungu, mzungu alimshobokea Vanny Boy na chui hakupepesa macho akampelekea moto shida ndio ilianzia hapo.

Kingine kinachomuuma Hamo ni ile kudhani atakuwa msanii no 2 akijitenga na Wasafi badala yake kwa sasa msanii namba mbili kwa kupiga pesa mtandaoni ni Rayvanny na no3 ni Kiba. Hili linamuumiza sana Hamo kuona expectations zake hazijaenda anavyotaka maana alienda mpaka kuomba ubalozi wa bei rahisi akidhani ndio itakuwa strategy ya kujenga brand matokeo yake brand imezidi kuwa ndogo ameshindwa mpaka kuzijaza club ikabidi acancel tour ya clubs.

Sasa naona kajigeuza Pfunk Majani, yeye ndio kaenda kufungua kesi na ndio ameisukuma hii ishu mpaka kuwa kubwa, wanaojua wanajua lile gazeti la Kajala linafanana na la leo. Inawezekana Ray kakosea ila tunajiuliza huu uchungu kwa Paula huyu mmakonde kautoa wapi?

Alimchonganisha Mavoko mpaka akagombana na Diamond sababu amezoea maisha ya kinafki, uchonganishi na fitna za kusini.

We all know Chui ni mtu poa sana, huwa hanaga shida na mtu na atavuka fresh huu mtihani ila mmakonde tutaenda sawa aina shida.
 
Katika watu ambao nawakubali ni vany boy, mtu humble Sana mshikaji, ukweli ni kuwa mademu wanamshobokea Sana mwamba Zaidi hata ya Mond..... Sema ndo hivyo mshikaji hapendi makuu .... Kingine Vannyboy kumchapa Paula Konde imemuuma Sana maana huenda na yeye target ilikuwa kuwa karibu na hako katoto, kuzikwa Kwa Kiki yake na Kajala ndo kanuna Zaid , ......

Uzuri Paula mwenyewe kazima Kwa mtu mbaya Vanny boy 🤣 afe kipa afe beki demu yupo upande wa mwamba .... Na ameahdi kumpa yoteeee ma-mae
 
Msitake kuhamisha magoli, ni kiki alikua anatafuta and it turned out to be bad, he should face consequences and learn,.. mbaya Intermet never forgets, linakua kama jinamizi vile..pole sana in advance.. pray kama unaamini in prayers....
 
msitake kuhamisha magoli.,ni kiki alikua anatafuta and it turned out to be bad,he should face consequences and learn,..mbaya Intermet never forgets, linakua kama jinamizi vile..pole sana in advance..pray kama unaamini in prayers....
Ko unamtetea kishumundu wa kimakonde??....Paula yupo mikono salama kabisa ya Vanyboy mtu mbadi
 
Katika watu ambao nawakubali ni vany boy , mtu humble Sana mshikaj , ukweli ni kuwa mademu wanamshobokea Sana mwamba Zaid hata ya Mond , ..... Sema ndo hvyo mshikaj hapend makuu .... Kingine Vannyboy kumchapa Paula Konde imemuuma Sana mana huenda na yeye target ilikuwa kuwa karbu na hako katoto , kuzikwa Kwa Kiki yake na Kajala ndo kanuna Zaid , ......

Uzuri Paula mwenyewe kazima Kwa mtu mbaya Vanny boy [emoji1787] afe kipa afe beki demu yupo upande wa mwamba .... Na ameahdi kumpa yoteeee ma-mae
Vanny boy mtu peace hanaga shida na mtu yeye studio na kubeti ndio maisha yake hata mambo ya mademu sio kivile sema ndio hivyo wanashoboka wenyewe.

Hizi bifu za kufungana watu watakuja toana roho siku watu wamechafukwa huko wana hasira na mnafki wa kimakonde yule.
 
msitake kuhamisha magoli.,ni kiki alikua anatafuta and it turned out to be bad,he should face consequences and learn,..mbaya Intermet never forgets, linakua kama jinamizi vile..pole sana in advance..pray kama unaamini in prayers....
Kiki ipi na watu ni wapenzi mbona hata kajala anajua kabla hata awajaanza kulana na hamo. Uzuri Paula sio mtoto mdogo. Mambo yote yamekuja kuvurugwa na kile kimbilikimo
 
Back
Top Bottom