Anza na aliyechukua video nani?? kameshakuwa hako nyie mnapoteza muda mtoto mtoto mama yake mwenyewe kiazi kutwa anabadilisha wanaume mara qick raka sijui mara nani sasa hv Korosho anamfundisha nn mtoto wake ??? ukipata hayo majibu hongera!Kuna watoto wa get ikali wanapewa ujauzito pia.na hao ni kosa la mama zao? Kati ya hao wawili RayVany ni mkubwa alitakiwa atumie akili zaidi...
Wewe ndio mpumbavu kufikiri mtu kama diamond anatakiwa kunyoa nywele akiwa ofisini kwake wakati hizo nywele mwenzio ndio sehemu ya sanaa yake iliyompatia hiyo ofisi.
Ujinga tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahHuyo atakua PAULA RAPA.
Wcb ni maji.Wewe Nyumbu sio kwakuwa umenunuliwa ITEL na DOMONDI na kuwekewa Bando kila kitu ni kusifu tu ,Tumia akili JINGA wewe!! Tofautisha kazi za kisanii na Ki_Media house.
Unaenda kuonana na waziri kuzungmzia maswala ya Radio unaenda kuhuni huni halafu unasupport upuuuzi kisa ni TIMU mavi yenu hiyo ya WCB.
Mbona Avatar ya paula iko tofauti na kinachoelezewa, Mimi naona anafurahia tu.Tamko la muhusika (paula) hili hapa. View attachment 1704132
Alikuwa na issue zake Tu zingine..Baba mkwe wa vani leo kaonekana Polisi post kudadeki
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Hakuna anachoumwa tour imebuma watu wamempotezea amekimbia aibu.
Unakuwaje msanii mkubwa na hauwezi hata kuijaza club [emoji23] [emoji23]
Mkuu carlos The jakal komaa ujilie huyu mtoto ..kila unapopita yeye anaweka tiki tuu hata kama umeandika pumba ...kwavile na yeye ni pumba anaweka tiki tuuHuu ndio uanaume sasa, [emoji120][emoji120][emoji120]
Hujawahi kukosea yaan.
Wakat Paula anamuahidi Vany boy, we ulikuwa pembeni unaskiliza mkuu?Katika watu ambao nawakubali ni vany boy, mtu humble Sana mshikaji, ukweli ni kuwa mademu wanamshobokea Sana mwamba Zaidi hata ya Mond..... Sema ndo hivyo mshikaji hapendi makuu .... Kingine Vannyboy kumchapa Paula Konde imemuuma Sana maana huenda na yeye target ilikuwa kuwa karibu na hako katoto, kuzikwa Kwa Kiki yake na Kajala ndo kanuna Zaid , ......
Uzuri Paula mwenyewe kazima Kwa mtu mbaya Vanny boy 🤣 afe kipa afe beki demu yupo upande wa mwamba .... Na ameahdi kumpa yoteeee ma-mae
Unafikiri kila mtu humu ni mshabiki wa kitimu kama mlivyo nyie wapumbavu?Wewe Nyumbu sio kwakuwa umenunuliwa ITEL na DOMONDI na kuwekewa Bando kila kitu ni kusifu tu ,Tumia akili JINGA wewe!! Tofautisha kazi za kisanii na Ki_Media house.
Unaenda kuonana na waziri kuzungmzia maswala ya Radio unaenda kuhuni huni halafu unasupport upuuuzi kisa ni TIMU mavi yenu hiyo ya WCB.
Wcb ni maji.
Unafikiri kila mtu humu ni mshabiki wa kitimu kama mlivyo nyie wapumbavu?
Shida ni kwamba unafikiri kila mtu ana upumbavu wa ki team kama wako.Kubishana na MISUKULE ya Domo inahitaji kujitoa ufahamu ,MINYUMBU ya Domo inavyojua ni kusifia tu kama MATAGA ya Lumumba,Tatufa kazi ya kufanya ,Kwa mwanamme kununuliwa bando na kuja kusifia wanaume ni aibu ,hizo kazi waachie kina JUMA LOKOLE,MARTIN KADINDA ,JAMES DELICIOUS ndio zinawafaha.
Sina Timu hao kina Hamonazi,Kibakuli na Domo wenu kwangu wote ni wapuuzi,wakifanya vizuri tutasifia na wakifanya hovyo wataambiwa ukweli,nyinyi ndio mna mitimu yenu m@vi kutwa kumsifia Domokaya.Shida ni kwamba unafikiri kila mtu ana upumbavu wa ki team kama wako.
Baki na upumbavu wako
van lazima akanyee debeAlikuwa na issue zake Tu zingine..
Kwa kipi sasa lolMbona Avatar ya paula iko tofauti na kinachoelezewa, Mimi naona anafurahia tu.
Wadau hapa tumepigwa [emoji849]