Bifu la Rayvanny na Harmonize halijaanza jana wala leo

Kuna watoto wa get ikali wanapewa ujauzito pia.na hao ni kosa la mama zao? Kati ya hao wawili RayVany ni mkubwa alitakiwa atumie akili zaidi...
Anza na aliyechukua video nani?? kameshakuwa hako nyie mnapoteza muda mtoto mtoto mama yake mwenyewe kiazi kutwa anabadilisha wanaume mara qick raka sijui mara nani sasa hv Korosho anamfundisha nn mtoto wake ??? ukipata hayo majibu hongera!
 
Mama huruma sasa hv! ngoja nijichange na me dah ila Van kakojoa pazuri jamani tuache utani
 
Wewe ndio mpumbavu kufikiri mtu kama diamond anatakiwa kunyoa nywele akiwa ofisini kwake wakati hizo nywele mwenzio ndio sehemu ya sanaa yake iliyompatia hiyo ofisi.

Ujinga tu

Wewe Nyumbu sio kwakuwa umenunuliwa ITEL na DOMONDI na kuwekewa Bando kila kitu ni kusifu tu ,Tumia akili JINGA wewe!! Tofautisha kazi za kisanii na Ki_Media house.

Unaenda kuonana na waziri kuzungmzia maswala ya Radio unaenda kuhuni huni halafu unasupport upuuuzi kisa ni TIMU mavi yenu hiyo ya WCB.
 

Wcb ni maji.
 
Huu ndio uanaume sasa, [emoji120][emoji120][emoji120]
Hujawahi kukosea yaan.
Mkuu carlos The jakal komaa ujilie huyu mtoto ..kila unapopita yeye anaweka tiki tuu hata kama umeandika pumba ...kwavile na yeye ni pumba anaweka tiki tuu
 
Wakat Paula anamuahidi Vany boy, we ulikuwa pembeni unaskiliza mkuu?
 
Unafikiri kila mtu humu ni mshabiki wa kitimu kama mlivyo nyie wapumbavu?
 
Wcb ni maji.

Nilishakwambia humu JF hata ukileta nyuzi ya hamorapa au ambaruti tutachangia haijalishi ana jina kubwa au dogo ,ungeniona kwenye pages zao za wcb hapo kweli ungesema ni maji...ukiona nimepata taarifa za wcb basi jua nimezipatia humu humu au kama nimesikiliza wimbo wa wcb basi nilikuwa kwenye daladala na uzuri redio nayosikiliza hawapigi kabisa nyimbo za wcb(Ea radio).

Humu JF nachangia thread yeyote as long as imeletwa humu,tunachangia thread zinazohusu ugaidi kwani ugaidi nao ni maji?
 
Unafikiri kila mtu humu ni mshabiki wa kitimu kama mlivyo nyie wapumbavu?

Kubishana na MISUKULE ya Domo inahitaji kujitoa ufahamu ,MINYUMBU ya Domo inavyojua ni kusifia tu kama MATAGA ya Lumumba,Tatufa kazi ya kufanya ,Kwa mwanamme kununuliwa bando na kuja kusifia wanaume ni aibu ,hizo kazi waachie kina JUMA LOKOLE,MARTIN KADINDA ,JAMES DELICIOUS ndio zinawafaha.
 
Shida ni kwamba unafikiri kila mtu ana upumbavu wa ki team kama wako.

Baki na upumbavu wako
 
Shida ni kwamba unafikiri kila mtu ana upumbavu wa ki team kama wako.

Baki na upumbavu wako
Sina Timu hao kina Hamonazi,Kibakuli na Domo wenu kwangu wote ni wapuuzi,wakifanya vizuri tutasifia na wakifanya hovyo wataambiwa ukweli,nyinyi ndio mna mitimu yenu m@vi kutwa kumsifia Domokaya.

Hizo kazi waachie Kina JUMA LOKOLE ,BOYA WEWE.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…