Bifu la Rayvanny na Harmonize halijaanza jana wala leo

Mkuu carlos The jakal komaa ujilie huyu mtoto ..kila unapopita yeye anaweka tiki tuu hata kama umeandika pumba ...kwavile na yeye ni pumba anaweka tiki tuu
Wee una nini lakini? Sasa alichokosea kipi ktk comment yake?
Km wee unaona pumba ni wee, hatufanan fikra na mtazamo.
Relaaaaaaaaax.
 
Wee una nini lakini? Sasa alichokosea kipi ktk comment yake?
Km wee unaona pumba ni wee, hatufanan fikra na mtazamo.
Relaaaaaaaaax.
Na wewe umefungwa mota kumbe.. kwa akili yako huyo ni Paula ? Unashindwa fikiria hata second 10
 
Subiri, bado wewe nakuchapa makiss ya kufa mmakonde, alafu napost insta [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wacha weeeeh, kuwadi wa kunileta kwako atakua queen darleen
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wacha weeeeh, kuwadi wa kunileta kwako atakua queen darleen
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ ndio utakuoma yani, nitakupelea moto hadi uhamie WCB moja kwa moja
 
Hapa mjini wanaume ni wale wanaomiliki pesa tu, waliobaki ni watoto wa kiume tu.
Wafuasi wa WCB wakipongezanza baada ya vita kubwa ya kumtetea Rayvanny.
Harmo yupo sahihi Kwa lipi we kilaza ,ngoja movie iishe bas tuone Nani ndezi ,... Mwenye shahawa yake katulia ,nyie wamakonde ndo mnadandia dandia
Mkuu una juhudi sana, hongera sana kwa mapambano.
 

Attachments

  • new_kondegirl_20210216_1.mp4
    4.2 MB
  • new_kondegirl_20210216_1.mp4
    4.2 MB
Wafuasi wa WCB wakipongezanza baada ya vita kubwa ya kumtetea Rayvanny.

Mkuu una juhudi sana, hongera sana kwa mapambano.
Sasa hzo taarabu za nini sasa , mwanaume mzima unafatilia na kudownload taarabu ... hii nchi la saba ni wengi ..... Angalia utapimwa oil
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…