kanali mstaafu
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 4,318
- 4,105
Inasemekana hawa jamaa huwezi kuwapika chungu kimoja na haziivi kabisaaa eti kisa tu kila mmoja anajiona ni zaidi ya mwenzake.imekuwa ni vigumu Kwao kukubali au kukanusha hili pale wanapohojiwa hali inayoleta sintofahamu baina ya beef hili.....mwenye kujua juu ya hili na atiririke
Kivip jamaa??Wewe ni mwanaume wa Darisalama kwani?
Hivi vigezo haviwezi kutupatia mbora kati yao....Bila kwenda mbali jaribu kupima katika vigezo vya umri,finances ,education and exposure. Utagundua who deserves to stay on top of the stage.
Kivip jamaa??
Haya endelea kuulizaNauliza tu!
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Haya endelea kuuliza
Si ndo beef hilo mwana au??Hawana beef wanapishana kauli
Joe hana nyimbo ngumu bhana, sio kila rap ni hip hopwote nyimbo zao nyeusii ngumu nazikubari hivo hata wawe na bifu me nawakubari wote.
joh makini anayeenda starlet aliyepanga geto moja changanyikeni ama kuna mwingneFid Q zamani hizo,sasa hivi ni zamu ya Mwamba wa Kaskazini Joh....
Fid atabaki na heshima yake tu,ila kimafanikio anakalishwa vibaya na Joh.
Naam,hapahapa ndipo nilipokuwa napasubiri.....joh makini anayeenda starlet aliyepanga geto moja changanyikeni ama kuna mwingne