Kendrick Rama
JF-Expert Member
- May 22, 2019
- 409
- 456
hivyo visingizio vya kitoto coz watazidi kuona wakina joh wanapata collabo za nje hku wao wakiendelea kuogopa na kuomba selfieP anasema had kupata picha ilikua mtihani....Sasa imagine collobo
Ndio anasema Nikki anahs kufanya collabo Ni simple Kama kufanya na pindabway(huyu jamaa Ni mchz wake Nikki)
Sent using Jamii Forums mobile app
ahaaa basi tusubir Nikki ajibu ili P aachie album
Je hao jamaa ni ma-underground?Wakuu habari zenu,
Kuna beef mpya Kati ya Nikki Mbishi na P the MC, bado sijajua chanzo hasa. Ila nimeona Twitter wakipeana madongo na Kuna Track P the MC kaachia inaitwa ‘Futi Sita’ akimdiss Nikki mbishi
By the way P amemchana sana Nikki nasubiria comeback ya Nikki Mbishi
One love
Ney lazima amsapot P.. Anajua alivyochanwa kwenye 'Ney wa Mitego'ahaaa basi tusubir Nikki ajibu ili P aachie album
ila kiukweli Nikki mbishi ni mchokozi huyu jamaa coz nimeona hadi ney amemsapoti pthe
where my crown atinaitwaje hiyo diss song
Hip hop mziki wa watu makini itakuwepo wewe ndiyo underground
Umeandika kama mimiWakali wa dis track bongo wako wawili tu 1.nick mbishi 2.young killer ila naona huyu dogo P the mc nilikuwa nampimia niione consistency yake nimemkubali namuongeza namba 3,tutegemee vita ya tatu ya dunia ya michano!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka/dada nimeuliza tu kwa sababu kweli siwajui hao jamaa.Hip hop mziki wa watu makini itakuwepo wewe ndiyo underground
hahah kwa hiyo alifuga kisasiNey lazima amsapot P.. Anajua alivyochanwa kwenye 'Ney wa Mitego'
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahah ile fifty insta yake utaishia kucheka dailyNikki Mbishi ni mzee wa kununua kesi kama 50 Cent kule mbele
Huyu p mawenge sikuwahi msikia before...kaua sana
Huyu p mawenge sikuwahi msikia before...kaua sana
Pia hunijui sikujui itakutokea makalioniKaka/dada nimeuliza tu kwa sababu kweli siwajui hao jamaa.
Ukinijuza kwa usahihi nitawajua nami nitakuwa kurasa moja na ninyi mnao wajua.
Nikukanye kaka/dada, usipende kujaribu kujilinganisha na usiowafahamu!! Tuheshimiane, tusonge mbele babu/bibi.
Nb: samahani nimetumia jinsia zote mbili kwasababu nimeshindwa kukutambua pia. Kwa hiyo unaweza kunielewesha pia. AMANI.
Sent using Jamii Forums mobile app
Samahani, kwani wewe ni dada/mwanamke?Pia hunijui sikujui itakutokea makalioni